Unakabiliana vipi na njaa ya ofisini kwako (msimu wa ukame wa posho)...??

Unakabiliana vipi na njaa ya ofisini kwako (msimu wa ukame wa posho)...??

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
INTRODUCTION:.
Kichwa cha habari cha husika .....

BODY:-
Heri ingekuwa taasisi ya kukusanya tu kama TRA.
Mida hii zile taasisi za kukusanya tu zinafikiria na kutunga activity za kumaliza bajeti tu, daah..!!

Ila kuna zile taasisi ambazo zinakusanya na kurudisha kwa wananchi, dah hela inaingia na kutoka, kasungura kadogoo ila walaji kibaooo..!!!

Dunia haina haki kabisaaaaa...!!!

SCENARIO
1. MUSE vifungu vimeisha vyoteee
2. Ukipiga WRONG CODING raia (CAG na INTERNAL AUDITOR) wanakushika shati..!!
3. MUSE inaelekea kufungwa (mwisho wa mwaka wa fedha)

Kwa kuzingatia point namba 3, Njaa inazidi kuongezeka na ku-prolong..!!!!

4. Mshahara wenyewe ni TGS ya kishambaa yenye makato ya HESLB na BANK LOAN.

Je unakabilina vipi na NJAA YA KAZINI KWAKO?

CONCLUSION
Tuendelee kutafuta hela, Hela hazitoshi kabisaaaa...

#YANGA BINGWA
#YNWA
 
Ukiwa na Mshahara unaosomeka TGS aisee pole sana.....

Kuna Taasisi zenyewe zinatia hasara ila ndio kwanza zinapewa compensation nzr wafanyakazi wake..

Inatakiwa reform kubwa..

NB: Ukiwa sehemu mpo wengi usitegemee maendeleo hapo. Mfn kada ya Waalimu, Askari, Kada za Afya hasa hawa wa hospital ndogo ndogo.. njaa huko.
 
Ukiwa na Mshahara unaosomeka TGS aisee pole sana.....

Kuna Taasisi zenyewe zinatia hasara ila ndio kwanza zinapewa compensation nzr wafanyakazi wake..

Inatakiwa reform kubwa..

NB: Ukiwa sehemu mpo wengi usitegemee maendeleo hapo. Mfn kada ya Waalimu, Askari, Kada za Afya hasa hawa wa hospital ndogo ndogo.. njaa huko.
Wazee wanaleta hasara ila pesa zao zipo pale ni hatari .

Huu mwaka nimetoa fora kabisa sijaenda safari hata moja tangu mwezi wa saba mwaka jna kwa mara ya kwanza.
 
Hivi kuna mshahara wa TGTs na nn
Ukiwa na Mshahara unaosomeka TGS aisee pole sana.....

Kuna Taasisi zenyewe zinatia hasara ila ndio kwanza zinapewa compensation nzr wafanyakazi wake..

Inatakiwa reform kubwa..

NB: Ukiwa sehemu mpo wengi usitegemee maendeleo hapo. Mfn kada ya Waalimu, Askari, Kada za Afya hasa hawa wa hospital ndogo ndogo.. njaa huko.
Hivi kuna mshahara wa 𝐓𝐆𝐓𝐬 na...........
 
INTRODUCTION:.
Kichwa cha habari cha husika .....

BODY:-
Heri ingekuwa taasisi ya kukusanya tu kama TRA.
Mida hii zile taasisi za kukusanya tu zinafikiria na kutunga activity za kumaliza bajeti tu, daah..!!

Ila kuna zile taasisi ambazo zinakusanya na kurudisha kwa wananchi, dah hela inaingia na kutoka, kasungura kadogoo ila walaji kibaooo..!!!

Dunia haina haki kabisaaaaa...!!!

SCENARIO
1. MUSE vifungu vimeisha vyoteee
2. Ukipiga WRONG CODING raia (CAG na INTERNAL AUDITOR) wanakushika shati..!!
3. MUSE inaelekea kufungwa (mwisho wa mwaka wa fedha)

Kwa kuzingatia point namba 3, Njaa inazidi kuongezeka na ku-prolong..!!!!

4. Mshahara wenyewe ni TGS ya kishambaa yenye makato ya HESLB na BANK LOAN.

Je unakabilina vipi na NJAA YA KAZINI KWAKO?

CONCLUSION
Tuendelee kutafuta hela, Hela hazitoshi kabisaaaa...

#YANGA BINGWA
#YNWA
kwani si nyie mnaimbaga mapambio kila siku kumsifia Hangaya na mnamtaja mara nyingi kwa siku kuliko mnavyomtaja Muumba wenu? mmezoea wizi kama kazi haziwafai unaacha tu unakujaje kulalamika humu? Utumishi wa umma wa kibongo ni utumwa na umasikini. FULL STOP.
 
Back
Top Bottom