unaiba mke wa mtu unaenda nae gest ya mbali kumbe kuna wanoko wanakuchora, mshamaliza kila kitu ile unatoka tu nje unakamatwa
unavuta sigara kituo cha polisi afu me nakuja najamba silence inatoka harufu ya bangi, polisi wanahisi unavuta bangi unakamatwa
unapost video za ngono instagram kumbe mriluka ukuta na ni kinyume cha sheria unakamatwa
unauza bidhaa fake tbs wakakuja kuhahikikisha wanagundua unawachezea akili wanaita polisi unakamatwa