Unakijua choo kinachopiga picha kinyesi chako😲!!!

Unakijua choo kinachopiga picha kinyesi chako😲!!!

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
1_20241118_163519_0000.png

Kampuni ya Austin imetengeneza choo cha kisasa chenye kamera📸 kwa ajili ya afya yako 😲. Unaweza sema wamechanganyikiwa awa jamaa au lah lakini ndo uwalisia sasa.

Teknolojia hiyo mpya inaitwa throne, ambayo kwenye choo unaweka kamera ambayo inapiga picha ya kinyesi chako. kupitia Teknolojia ya AI au Akili bandia inafanya Kazi ya kuchambua kinyesi chako na kukupa taarifa ya afya yako kuhusu tumbo lako nk.

3_20241118_163519_0002.png


Kampuni hiyo imeweka kamera kwenye sinki la choo ambalo yenyewe inafanya Kazi ya kupiga picha zile harakati zako zote za haja kubwa, kwa kutumia Teknolojia ya AI au Akili bandia na kukusaidia kujua afya yako kuanzia afya ya mwili na unyevu nyevu kwenye kinyesi

5_20241118_163519_0004.png


KUMBUKA
🛡️ Kamera ndogo inawekwa kwenye choo na kuchukua taarifa ya kinyesi chako
🛡️ Picha huweza kuchambua kinyesi chako kupitia algorithm ya AI ambayo inatambua mfumo mzima wa afya yako ya utumbo, kiwango cha maji kulingana na kinyesi ulichokitoa.

4_20241118_163519_0003.png


🛡️ Taarifa zote zinazotolewa kukuhusu wewe zitakua za Siri na salama kwani kampuni azitaweza Siri za mteja wao.
🛡️ Watumiaji wataweza kuona taarifa za vinyesi vyao na taarifa mbalimbali kupitia app yao.
 
View attachment 3155898
Kampuni ya Austin imetengeneza choo cha kisasa chenye kamera📸 kwa ajili ya afya yako 😲. Unaweza sema wamechanganyikiwa awa jamaa au lah lakini ndo uwalisia sasa.

Teknolojia hiyo mpya inaitwa throne, ambayo kwenye choo unaweka kamera ambayo inapiga picha ya kinyesi chako. kupitia Teknolojia ya AI au Akili bandia inafanya Kazi ya kuchambua kinyesi chako na kukupa taarifa ya afya yako kuhusu tumbo lako nk.

View attachment 3155900

Kampuni hiyo imeweka kamera kwenye sinki la choo ambalo yenyewe inafanya Kazi ya kupiga picha zile harakati zako zote za haja kubwa, kwa kutumia Teknolojia ya AI au Akili bandia na kukusaidia kujua afya yako kuanzia afya ya mwili na unyevu nyevu kwenye kinyesi

View attachment 3155903

KUMBUKA
🛡️ Kamera ndogo inawekwa kwenye choo na kuchukua taarifa ya kinyesi chako
🛡️ Picha huweza kuchambua kinyesi chako kupitia algorithm ya AI ambayo inatambua mfumo mzima wa afya yako ya utumbo, kiwango cha maji kulingana na kinyesi ulichokitoa.

View attachment 3155905

🛡️ Taarifa zote zinazotolewa kukuhusu wewe zitakua za Siri na salama kwani kampuni azitaweza Siri za mteja wao.
🛡️ Watumiaji wataweza kuona taarifa za vinyesi vyao na taarifa mbalimbali kupitia app yao.
Huku sisi huweka sehemu ya kinyesi (Mavi)kwenye ganda la kiberiti au kichupa kidogo (vial)na kupeleka Hospitali wakakague wenyewe huko.
 
Mnavyofukuaga kama kupe hamsemi vinatisha
Eboooo acha kufikiria mbali we kuwa kama mtu mwenye div4 kwel picha yako kipindi unakata gogo kesho na kesho kutwa unaikuta Jamiicheck kama kielelezo matatizo ya bawasiri na kujisaidia kwa tabu

Dont trust anyway may be hiyo kamera inauwezo wa kitatua rinda wireless NEVER USE IT
Hahahaa ukute hiyo kamera imeunganishwa na mitambo wanakuona tu unavyobomoa makimba.

Ah mi sitakii
 
View attachment 3155898
Kampuni ya Austin imetengeneza choo cha kisasa chenye kamera📸 kwa ajili ya afya yako 😲. Unaweza sema wamechanganyikiwa awa jamaa au lah lakini ndo uwalisia sasa.

Teknolojia hiyo mpya inaitwa throne, ambayo kwenye choo unaweka kamera ambayo inapiga picha ya kinyesi chako. kupitia Teknolojia ya AI au Akili bandia inafanya Kazi ya kuchambua kinyesi chako na kukupa taarifa ya afya yako kuhusu tumbo lako nk.

View attachment 3155900

Kampuni hiyo imeweka kamera kwenye sinki la choo ambalo yenyewe inafanya Kazi ya kupiga picha zile harakati zako zote za haja kubwa, kwa kutumia Teknolojia ya AI au Akili bandia na kukusaidia kujua afya yako kuanzia afya ya mwili na unyevu nyevu kwenye kinyesi

View attachment 3155903

KUMBUKA
🛡️ Kamera ndogo inawekwa kwenye choo na kuchukua taarifa ya kinyesi chako
🛡️ Picha huweza kuchambua kinyesi chako kupitia algorithm ya AI ambayo inatambua mfumo mzima wa afya yako ya utumbo, kiwango cha maji kulingana na kinyesi ulichokitoa.

View attachment 3155905

🛡️ Taarifa zote zinazotolewa kukuhusu wewe zitakua za Siri na salama kwani kampuni azitaweza Siri za mteja wao.
🛡️ Watumiaji wataweza kuona taarifa za vinyesi vyao na taarifa mbalimbali kupitia app yao.
Japo sio kila kitu chakusema ila i wish ungekuwa na ufahamu kidogo kilichopo nyuma ya hiyo Technology funguka sio kila kitu chakuiga... watu wapo kazini
 
Japo sio kila kitu chakusema ila i wish ungekuwa na ufahamu kidogo kilichopo nyuma ya hiyo Technology funguka sio kila kitu chakuiga... watu wapo kazini
Ku spin afya za viongozi was mataifa makubwa wanaokwenda kinyume na matakwa ya kimedani ya taasisi za kijasusi za Mossad,FBI,CIA ,M16,INCIS etc Duniani pote!!
 
Sema watu wa laboratory wana ona mengi aise,,, fikiria unaletewa kinyesi kwenye kasha la kiberiti 😆
Sasa hiyo si ni bora kuliko yule anayeleta kwenye mfuko alamaarufu kama mifuko ya Magu.
 
Back
Top Bottom