"Unakufa" special thread

"Unakufa" special thread

Unakulaaa chips ..... Unakulaaa chips ..... Unamezaa stikiiii Unakulaaa chips ..... Unakulaaa chips ..... Unamezaa stikiiii UNAKUFA
 
Unapenda ngono bila kinga ukiukwaa unalia unapata stress mwisho UNAKUFA
 
Unapenda ngono bila kinga ukiukwaa unalia unapata stress mwisho UNAKUFA
 
Mpenzi wako anakuomba mwende club usiku.

We unatoroka kwenu mnaenda club na mpenzi wako mnafika huko unatokea ugomvi unapigwa chupa ya kichwa unakufa
 
Wamee kuzidishiaa chenjiii ... Unakimbiaaa unagongwa na gari unakufaa
 
Una print T shirt za _BRING MO BACK_ then Mo anarudi mwenyewe. Unapatapa presha unakufa.
 
Unaombaa riftii unatakaa kupigaa na onniii ,,. ...... Mnapata ajari UNAKUFA
 
Unagoma kunywa pombe ..unaeenda kanisani ,ukiwa kwenye mapambio unaangukiwa na spika UNAKUFA.
 
Back
Top Bottom