Unasema mwanzilishi wa thread anakufa unamuona mzima unapata na mshtuko UnakufaUnaanzisha thread ya kufa afu kesho yake unakufa
hahaha we jamaa umetishaUnaoga na sabuni ya rungu, inakupiga kichwani unavuja damu Unakufa
Afu kuna mud kafa ununio Judi tyuUnalala mwenyewe kitandani unashikwa na ngiri unakufa