Unakula lakini huhisi kushiba

kg1

Senior Member
Joined
May 27, 2017
Posts
152
Reaction score
55
Jamani kuna mtu wakati naongea naye amenishtua kidogo pale aliponambia kwamba; anashangaa kila akimaliza kula anahisi kama hajashiba. Kiukweli binafsi sijawahi kusikia kitu cha aina hiyo, sasa nikaona niwaletee hapa wadau pengine kuna mtu ana experience au umahili wa jambo hili ambalo ningependa kujua kama ni ugonjwa au kitu kingine.
Ikibidi kama ni ugonjwa ni:-
1. Aina gani ya ugonjwa
2. Sababu
3. Tiba

Wataalamu mkuje tafadhali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…