Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Ugali, utumbo na dagaa wa marekani
Watu tunatofautiana taste, napenda sana samaki ila hiki chakula sili.View attachment 2850870
Kitu hiko
Mbona mboga ny8bgj kuliko ugali na sanaki ? Sio sawaàa.....au ulisema unapiga picha ?View attachment 2850870
Kitu hiko
Watu tunatofautiana taste, napenda sana samaki ila hiki chakula sili.
Muhogo wa Indian recipes[emoji39]
Mbona mboga ny8bgj kuliko ugali na sanaki ? Sio sawaàa.....au ulisema unapiga picha ?
[emoji39][emoji39]
chapati zina mapembe utasema mstatili umejitahidi kama wewe wa kiume unakaa na kupika chapati sjui kama utaoaView attachment 2851532
Leo nashindia hizi
chapati zina mapembe utasema mstatili umejitahidi kama wewe wa kiume unakaa na kupika chapati sjui kama utaoa
chapati zina mapembe utasema mstatili umejitahidi kama wewe wa kiume unakaa na kupika chapati sjui kama utaoa
Karibu sana ni huku Sumbawanga mkuuuko wapi nije nikusaidie