Unakumbuka jina gani ulimpa Mwalimu au Lecturer wako ukiwa shule au chuoni?

Unakumbuka jina gani ulimpa Mwalimu au Lecturer wako ukiwa shule au chuoni?

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Wanafunzi wengi au watoto walikua wakiwabatiza walimu au lecturer wao majina ya bandia, lakini majina mengi yalitokana na mazoea ya hao walimu kupenda kutumia neno fulani kila mara kitu au tabia

Hatimae hatimae ilipelekea wanafunzi wakalitumia neno hilo kama jina, hii imeenda hadi kwa wazazi, ndugu na jamaa.

Mwalimu wangu wa shule ya msingi tulikua tukimwita "hamna chitu" alipenda kutumia neno hilo akiku discqualify, akimaanisha hamna kitu, hakua ana jua lafudhi nzuri ya kiswahili

Chuo kulikua kuna mwalimu tulimbatiza jina la dheraa, alipenda sana kutumia nenno hili akimaanisha there are,

Mnakumbuka mliwabatiza walimu majina gani tujikumbushe?
 
kuna madam (mdada) alikuwa anatufundisha module ya Research Methodolody

aliitwa Nina ila wazee wa kazi tulimuita Madam MASOGANGE kutokana na CHURAAAAA aliyokuwa nayo

pindi lake hakuna Team Fisi aliyekuwa anadoji
 
mwalimu wa history advance tulimwita bourgeoisie

sekondari tulimwita mr. blue hadi leo anaitwa hivyo hivyo.
 
kuna madam (mdada) alikuwa anatufundisha module ya Research Methodolody

aliitwa Nina ila wazee wa kazi tulimuita Madam MASOGANGE kutokana na CHURAAAAA aliyokuwa nayo
Hakuna Alie pata alama A maana mlikuwa mkichora chura take😀😀😀😀😂
pindi lake hakuna Team Fisi aliyekuwa anadoji
 
Mwalimu wa history Fyudo, alikuwa akiitamka ile Feudal- Feudalism utapenda,mpaka leo anaitwa Fyudo!
 
Nikiwa form one mkono wa Mara headmaster alikuwa anaitwa Tako. Kiasi alikuwa akitingisha tako moja dizaini ya twerking
 
Back
Top Bottom