Unakumbuka nini kipindi mtindo wa kuvaa suruali kwa mwanamke/mtoto wa kike katika jamii yako?

Unakumbuka nini kipindi mtindo wa kuvaa suruali kwa mwanamke/mtoto wa kike katika jamii yako?

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari!

Wengine wanaendelea kusema dunia simama washuke ila sisi acha tujaribu kukumbuka hapo awali ilikuwaje.

Na imani kuna wengi watakumbuka matukio mengi kwa kipindi kile suruali ilikuwa ni jambo la ajabu kwa mwanamke kuvaa na kutembea mtaani.

Watoto wa sasa wanazaliwa na kukuta vazi la suruali kwa mwanamke ni vazi la kawaida na lisilo shangaza.

Turudi nyuma kwenye mitaa yetu kipindi hicho kwa mtoto wa kike kuvaa suruali ilikuwa ni sawa kabisa na kutokuvaa chochote (utupu).

Na kwa wakati ule ilionekana kabisa mvaa suruali yeyote yule wa jinsia ya kike ni malaya/ asiye na maadili.

Karibuni tujikumbushe kwa wakati ule mwanamke kuvaa suruali ilikuwaje?

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Ayaa mkuu nashukuru umeleta hiii madaa maan Sasa hata mkwe kuja kakuvalia sulual imekua normal kabis hivy hiz nikwel mapka sas Mwanamke anaye jitambua akivaa sulual anajitshukia wala mpumbafu wala
 
Kuna anguko kubwa sana na tunashindwa kukemea upumbafu kama huu.
Ayaa mkuu nashukuru umeleta hiii madaa maan Sasa hata mkwe kuja kakuvalia sulual imekua normal kabis hivy hiz nikwel mapka sas Mwanamke anaye jitambua akivaa sulual anajitshukia wala mpumbafu wala
 
Utandawazi kuvaa uchi na kuharibu moral.

Mkuu ...
Kwa huku kwetu Arusha
Wazee wa Mila ,kwa wakati ule waliamua kuwa

Mwanamke akivaa au kuonekana amevaa suruali

Ni kuwachapa fimbo barabaraa 😮
Mbaya zaidi wengine walichaniwa kabisa zikiwa mwilini...
 
Ayaa mkuu nashukuru umeleta hiii madaa maan Sasa hata mkwe kuja kakuvalia sulual imekua normal kabis hivy hiz nikwel mapka sas Mwanamke anaye jitambua akivaa sulual anajitshukia wala mpumbafu wala
Hakika sijawai kumuona mama angu mzazi amevaa SURUALI.....
 
Hakika sijawai kumuona mama angu mzazi amevaa SURUALI.....
Si ndio hap wazaz wa kipnd hiko hii aibu ya kumuonyesha makalio mwnaae walikua hawataki kabisa lakin kizaz hik kun mpka muda mama mzaz anatuka na kuongea maada na Mwanamke mwenzie kuhus mambo ya ndan na watoto wap hata sielw shida nn kwa kizaz hik
 
Yah Ni Kuwa Uchi. Ndio maana kwenye nyumba za ibada huwezi kwenda umevaa hivyo.

Neno uchi ni neno mtambuka lenye maana ya haraka haraka kujisitiri.

Unakumbuka kipindi zinaingia hizi tabia za kuvaa suruali kwa mwanamke?
Kwani kuvaa suruali kwa mwanamke n kuwa uchi?
 
Hebu tuonyeshe uchi hapa Mkuu

1612041659170.jpeg

Yah Ni Kuwa Uchi. Ndio maana kwenye nyumba za ibada huwezi kwenda umevaa hivyo.


Neno uchi ni neno mtambuka lenye maana ya haraka haraka kujisitiri.

Unakumbuka kipindi zinaingia hizi tabia za kuvaa suruali kwa mwanamke?
 
Mkuu sikuuliza kuhusu kanisani, nimekwambia utuonyeshe uchi hapo.
Tumpeleke Kanisani Kama Alivyo Huyo.

Utaona Wamama Wanajitolea Kitenge Kumsitiri.

Mkuu Huyo Yupo Uchi Zamani Ilikuwa Mwanamke Akipita Hivyo Wanaume Wajomba Wote Wanasimama.
 
Back
Top Bottom