johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katika umri wake wa miaka 30 Chadema imefanya mengi ya kulisaidia taifa lakini pia imekuwa kikwazo kwa baadhi ya mambo ya kimaendeleo nyakati zingine.
Je, unaipongeza Chadema kwa lipi?
Je, ungependa chama hiki kikuu cha upinzani kijirekebishe katika maeneo gani?
Je, unafikiri Chadema ni chama tawala mbadala baada ya CCM kufikia maturity stage sasa?
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Je, unaipongeza Chadema kwa lipi?
Je, ungependa chama hiki kikuu cha upinzani kijirekebishe katika maeneo gani?
Je, unafikiri Chadema ni chama tawala mbadala baada ya CCM kufikia maturity stage sasa?
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!