Unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya ngono?

Uzinzi ni chukizo mbele za Mungu. Tubuni na kumrudia Mungu na kama hamkufanya hivyo hukumu ya Mungu inawasubiri. Ushauri ni kwamba kama umelala na mwanamke na ana laana zake nawe unakuwa sehemu ya laana zake.

Unachokiona ni uzinzi tu!
 

Mbona kama unawachukia wasukuma au mtazamo wangu sio sahihi mkuu
 
Salute mkuu...........
 
likizo ya form six purukushani za majibu mumewangu akaniambia njoo nikuangalizie kwenye laptop yangu room,nakumbuka tarehe mwezi mwaka siku hadi saa,maana niliacha bikira nikabeba mimba hapohapo.usiombe bad experience

Me mwenyewe nlianza nlvyomalza six nakumbuka nlikuwa nasubr matokeo,kpnd hcho nlikuwa nasoma computer veta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…