gekaboy
Member
- Nov 27, 2021
- 49
- 106
Kwenye maisha ya soka ukiachilia mbali mabao na vyengaa ila burudani nyingne ni kushudia utukutu na ubabe wa wachezaji
Sergio Ramos master Red card, kati ya tukio ambalo nalikumbuka kutoka kwake ni umafia kama sio ujambazi aliomfanyia mo Salah kwenye michuano ya UEFA champions
Mwamba kakamata mkono alfu akang'oa stendi ya Salah kilichofata nahisi kila mwanasoka anafahamu
Je ni tukio gani ambalo unamkumbukia mwamba Ramos akiwa na Uzi wa Madrid pamoja na timu ya taifa ya Spain?
NB: alishawahi kumwambia velverde akiwa anamfukuzia morata" kill him "[emoji1787][emoji1787]
Sergio Ramos master Red card, kati ya tukio ambalo nalikumbuka kutoka kwake ni umafia kama sio ujambazi aliomfanyia mo Salah kwenye michuano ya UEFA champions
Mwamba kakamata mkono alfu akang'oa stendi ya Salah kilichofata nahisi kila mwanasoka anafahamu
Je ni tukio gani ambalo unamkumbukia mwamba Ramos akiwa na Uzi wa Madrid pamoja na timu ya taifa ya Spain?
NB: alishawahi kumwambia velverde akiwa anamfukuzia morata" kill him "[emoji1787][emoji1787]