Unakwepaje Vyakula hivi

Unakwepaje Vyakula hivi

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Nimejikuta hivi vyakula ni sehemu ya mlo wangu karibu Kila siku, ukiwa nyumbani utakuta pamepikwa , uingie mtaani hadithi ni Ile Ile, nimevichoka ila sasa sielewei najinasuaje , vyakula hivi ni 1. Wali 2. Ugali 3. Chips 4. Chapati 5. Ndizi na mboga hizi 1. Nyama 2. Samaki( samaki na dagaa) 3. Maharage 4. Mboga a majani marufu kama Chinese, vip unatoboaje na unavikwepaje, je unaweza toboa wiki usikutane na hiyo menu hapo juu,. Nimefanikiwa kukata matumizi ya soda na beverages nyingine nyingi, natumia maji tu ila kuhusu vyakula imekuwa kazi ngumu ,nenda mgahawani kwa mama lishe to hotelini misosi ni hiyo hiyo
 
Nimejikuta hivi vyakula ni sehemu ya mlo wangu karibu Kila siku, ukiwa nyumbani utakuta pamepikwa , uingie mtaani hadithi ni Ile Ile, nimevichoka ila sasa sielewei najinasuaje , vyakula hivi ni 1. Wali 2. Ugali 3. Chips 4. Chapati 5. Ndizi na mboga hizi 1. Nyama 2. Samaki( samaki na dagaa) 3. Maharage 4. Mboga a majani marufu kama Chinese, vip unatoboaje na unavikwepaje, je unaweza toboa wiki usikutane na hiyo menu hapo juu,
Waafrika tuna uhaba wa Milo. Tunakula ili tuishi, hatuli kufurahia uumbaji wa Mungu.
Kama uko Dar tembelea migahawany Kichina, Kihindi, Kikorea, Kiarabu na hata Ile ya Kizungu uone wenzetu wanavyokula
 
Nitafte Hela ziwe shilingi ngapi mzee ili nikwepe, sababu iwe hotelini wapi menu zinaishia humo
tafuta hela mpaka uwe unauweza wakulala hotel zakulipia dollar 500 kwa siku halafu wewe unakaa wiki mbili,hutawaza ugali,wali hivyo vyakula utakuwa unavihamu tu! tena unamgombeza mtu kukupikia maana anaona sio kupika ni kupigana!..🤣
 
Nimejikuta hivi vyakula ni sehemu ya mlo wangu karibu Kila siku, ukiwa nyumbani utakuta pamepikwa , uingie mtaani hadithi ni Ile Ile, nimevichoka ila sasa sielewei najinasuaje , vyakula hivi ni 1. Wali 2. Ugali 3. Chips 4. Chapati 5. Ndizi na mboga hizi 1. Nyama 2. Samaki( samaki na dagaa) 3. Maharage 4. Mboga a majani marufu kama Chinese, vip unatoboaje na unavikwepaje, je unaweza toboa wiki usikutane na hiyo menu hapo juu,. Nimefanikiwa kukata matumizi ya soda na beverages nyingine nyingi, natumia maji tu ila kuhusu vyakula imekuwa kazi ngumu ,nenda mgahawani kwa mama lishe to hotelini misosi ni hiyo hiyo
iwe nyumbani au hotelini au kwa mama ntilie

ni kujipanga tu my friend,
J3 na alhamisi Asubuh mihogo na maziwa, mchana matunda joini maziwa fresh nauchapa usingiz...

siku zilizobaki moja wali samaki na mchicha, then ugali nya na kisha una malizia na ndizi, ni muhimu majani yakawepo katika vyote..🐒
 
tafuta hela mpaka uwe unauweza wakulala hotel zakulipia dollar 500 kwa siku halafu wewe unakaa wiki mbili,hutawaza ugali,wali hivyo vyakula utakuwa unavihamu tu! tena unamgombeza mtu kukupikia maana anaona sio kupika ni kupigana!..🤣
Hata Mo dewji hafanyi ujinga huo wa kukaa hoteli kwa gharama hizo , ni mara moja Moja zaidi ya hapo utakuwa mshamba wa pesa, na nahisi pesa huzijui
 
Back
Top Bottom