Nawe una Miriam pia?Nasubiri kusikia pia.....
UmbujeNimewamiss wana MMU kituo changu cha kwanza nilipoingia JF
Naamini majina huendana na tabia na hata mwonekano wa mtu na hata viwango vya kimaisha bila kusahau uzuri
Kwa uzoefu wako unalizungumziaje jina la MIRIAM aka MIRI?
Nipo mkuu, uwajibikaji unatufichaaa....Long time kaka upo?
Eeee ninae.. tena leo birthday yakeNawe una Miriam pia?
Ameni, hilo ndio kuu.Poa kaka bora uzima
Haya nsiayi naiiza umbujeUzwi [emoji85]