Hongera, kwa kuwa na sifa zote, muda utakapofika, mtakutana wenye nia moja na kutengeneza a product of desireable quality... mambo ya kutokuwa na nyota ni mambo unayojitengenezea kwa fikra na ulimwengu hukujibu kutokana na fikra zako....Hizo sifa zote ninazo ila shida nyota yangu haijawaangukia nyie niliwahi jiuliza why sipati mume nakasoro gani naninakila kitu .
Halaula jibu nimelipata kumbe rangi zenu sina nyota nazo .
Laiti ningelijua mapema hata jf nisingeijua
hahahahahaaTatizo watu hapa waliugeuza ule uzi kama fimbo ya kumchapia huyu mwali
Hata kama lakin haimaanishi sijui SIFA za wifi materialThen your too young to comment and participate kwenye huu uzi
Safi Sana ...HIZI ndo points na sio kusema eti awe mnyenyekevu na mwenye akili wakati hivo Ni vitu vya spiritual Zaidi sio rahisi kuvingundua physical-Hanywi savana anakunywa soda..ukishaona dem anakunywa savana vaa ndom
-Havai nguo fup hata sku1
Anaenda kanisan
-Hanukii manukato manukato mda wote..ana haruf ya asil
-Ana aibu
-msafi na ana pu..ssy safi
-kabat lake halikos nguo ya kitenge piga ua
Umenena vyema.Mwenye akili
Mnyenyekevu
Mcha Mungu
Anaejitambua
Mengine malizieni wenyewe
No 2 ngumu sana kama akiwa na vigezo no 1 na 4hahahhaMwenye akili
Mnyenyekevu
Mcha Mungu
Anaejitambua
Mengine malizieni wenyewe
Nlkua na demu ana akili sana za darasani ila za akili za nje yaani za maisha na kujitambua yeye ni nani na afanye nini kwa wakati gani alkua HANA.Wife material asilimia kubwa akiwa na akili.
Njoo DMYes I'm future wife material
Naskiaga mtu akila cannabis sativa/dope anakumbukaga mpaka vitu ambavyo hata hajui kama alivifanya na kuna baadhi huwa wakimaliza kupuliza wanaanza kulia tu yaani files zina anza kuload kichwani, eti ni kweli?!Hizi point nakumbuka nilizimeza kipindi nasoma halafu hazikutoka kwenye mtihani, angalau nimepata sehemu ya kuzitumia[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hapana zinatofautiana.mbona hii ndo point inayojirudia nazani kuna shida sehemu kwa awa dada zetu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Not your future DM sijiNjoo DM
anazungumzia akili ya kujitambua kila mtu ana akili sema kujitambua ndo tatizoHapana zinatofautiana.
1. Ana akili, (Kila binadamu ana akili, Mungu hakuumba binadamu asiyekua na akili)
2. Ana akili timamu, hapa ndiyo kuna utofauti sasa kama alivyocomment huyo mdau. Binadamu wote tuna akili sawa ila siyo wote tuna akili timamu/kamilifu.
Nyota lazima ziendane zisipoendana mkioana mtaachana seriouslyHongera, kwa kuwa na sifa zote, muda utakapofika, mtakutana wenye nia moja na kutengeneza a product of desireable quality... mambo ya kutokuwa na nyota ni mambo unayojitengenezea kwa fikra na ulimwengu hukujibu kutokana na fikra zako....
Habari wanabodi wa MMU, Hivi ni kigezo gani wanaume wanakitumia kusema huyu mwanamke ni wife material?
ni muhimu kujua mapema mkuu ilikuepusha mambo mengineHamna, We owa kwanza ndiyo utajua mwanamke ni yupi.