Wazee wa good morning ni nomaHalaf cha kushangaza ukisema huna wanakasirika na inawezkana wanakutukana kabsa.
Utasikia mm ni branch manager sijui wann yani pumba tupu, kuna manzi mmoja juzi kati hapo alinitafuta fb tulisoma nae advance nashangaa ananichangamkia balaa kumbe mwshoni ananiambia ujinga huo na sijui niende ofisni huko sijampokelea simu tena...
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu anayekuvuta ni mwanao kabisa yaniHao wanaitwa I'm global lakini tano kuingia wanapenda sana kwenda vyuoni kulamba madogo boom ukijikuta na tamaa zako za pesa imekula kwako hao kiingilio ni 520000
Kuna superlife wao kuanzia hata laki tatu hawa watu wa haya makampuni wanapenda sana kuvaa suti
Kipind npo chuo nimeudhuria mikutano yao naalikwa na mdau najua kuna kitu cha maana na mshakaj akikualiki akwambii ni nini anasema twende tu utaona fursa kubwa Si ya kukosa kumbe ungese naaga naenda toilet nasepa
Yaani nitoe laki tano bado ni convince wengine wawili watoe huo ni uboya
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu anayekuvuta ni mwanao kabisa yani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee,ulimwezaDaah we acha tu hapo mwanao kapigwa anatafuta boya mwenzie
kuna demu alikuwa aniniletea pigo za global chuo nilikuwa. nae kozi moja namb yang aliichomoa kwenye group LA wasap LA class .ye akiingizia global mi naingizia mapenzi [emoji23][emoji23]
tulishia kuwa couple tu na global yenyewe sikujiunga ye anajilaumu mpaka Leo kwa pesa aloitupa