Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatufanyi large scale farming.. familia nyingi zinalima hela 1 au 2 tu na zinatosha kuuza kwa watu wengine. Tukifanya large scale hapa vyakula vyote vinaoza.
Makarani karibuni Wete, Pemba nawasubiri kwa hamu.Wakati wenzetu wanazungumzia mapinduzi ya viwanda awamu ya 5 (5IR Wala si 4IR) sisi tunaulizana umiliki wa jembe la mkono?!
Ni masikitiko makubwa. Hapo wameandaa hiyo Questionnaire toka Sensa iliyopita 2012?Ni swali eti la sensa, tutafika kweli ?
Wameuliza jembe la mkono, hawajauliza kilimo cha jembe la mkono. Kwani makaburi tutachimbia trekta?Wakati wenzetu wanazungumzia mapinduzi ya viwanda awamu ya 5 (5IR Wala si 4IR) sisi tunaulizana umiliki wa jembe la mkono?!
Hata China walianza na jembe la mkono. AsanteWakati wenzetu wanazungumzia mapinduzi ya viwanda awamu ya 5 (5IR Wala si 4IR) sisi tunaulizana umiliki wa jembe la mkono?!
wanaolima na kulisha 10% ya dunia wanalima eneo size gani?ninalo na niko mjini. kulima eneo kubwa sio kupata mavuno mengi. nafanya smart farming.
Nimemwambia jembe langu liliibiwa kama vipi waninunulie jembeNi masikitiko makubwa. Hapo wameandaa hiyo Questionnaire toka Sensa iliyopita 2012?
Wako sahihi cos Watanzania wengi ni subsistence agriculturistsNi swali eti la sensa, tutafika kweli ?
Karani anawaza posho zake. Akununulie jembe?Nimemwambia jembe langu liliibiwa kama vipi waninunulie jembe
Mmmh pole Sana nduguWako sahihi cos Watanzania wengi ni subsistence agriculturists
Haiwezi kukusikitisha, kijijini kwenu kuna wamiliki wa power tillers au tractor wangapi?Inasikitisha?
Utaondakaje ktk jembe la mkono kama huna takwimu za wanaotumia jembe la mkono kwa nchi nzima? #Tunadhani hilo swali halina mantiki kumbe hoja zetu mitandaoni ndizo hazina mantiki.🙏🙏🙏Wakati wenzetu wanazungumzia mapinduzi ya viwanda awamu ya 5 (5IR Wala si 4IR) sisi tunaulizana umiliki wa jembe la mkono?!