Namiliki mkeka ambao Totenham wameuchana kwa mfano hivi vitu vidogo vidogo vinavyohusishwa na Stigler's gorge unadhani hii ni chupa ya chai?
Home boy unazingua Kiduu aseeh.!!unaimbishia mamyloo kwa kutumia njenje?hehe.but fresh haiko rekwe dingilaiNamiliki njenje moko ya gear ndio huwa naingia nayo bakta kwenye mbishe zangu na kufanyia tizi.
Natongozea pia maana ni kitu OG nilipewa na mtasha kutoka Vancouver. Mamrax wanaimind kikuzi.
í ¼í¿í ¼í¿í ¼í¿í ¼í¿
Eeh njenje ndio inaniweka bakta na mimi nakua mshuaHome boy unazingua Kiduu aseeh.!!unaimbishia mamyloo kwa kutumia njenje?hehe.but fresh haiko rekwe dingilai
[emoji23][emoji23][emoji23]hapa waezavumbua dhahabu [emoji114][emoji114]Namiliki mkeka ambao Totenham wameuchana kwa mfano hivi vitu vidogo vidogo vinavyohusishwa na Stigler's gorge unadhani hii ni chupa ya chai?
Hivi we the gunners ulimaanisha nini?Namiliki mkeka ambao Totenham wameuchana kwa mfano hivi vitu vidogo vidogo vinavyohusishwa na Stigler's gorge unadhani hii ni chupa ya chai?
Natumia miguu na naimiliki kihalali,naishukuru serikali ya Tanganyika.Hello!! Niaje wadau... kama kichwa cha habari kinavyosema... unamiliki usafiri gani kama huna usafiri tuambie ndoto zako za usafiri gani unaotaka kumiliki ukipata mshiko... nikianza na mimi namiliki pikipiki Tvs 150 ni kwa ajili matumizi yangu binafsi sio bodaboda... naitumia kwenda job na kurudi home na visafari vyengine... Maisha ni murwa
Sent using Jamii Forums mobile app