Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Si ndio hukohuko kwa JK mkuu,Yaah huko pia anaishi , lakini pia kule karibu na JK anaishi pia.
Hahahaha, ndio hapo Msasani kwa JK, regency hotel iko mbele yaoYaah huko pia anaishi , lakini pia kule karibu na JK anaishi pia.
ID yako mkuu inanikumbusha PRISON BREAK. Hapo ndiyo nilipojifunza kupenda (mapenzi) ni kipaji,hakika Sucre alikuwa nacho.Point saana.huyu mtoto Wa mama hajielewi
Migombani paleHahahaha, ndio hapo Msasani kwa JK, regency hotel iko mbele yao
Kwingine ni hapa karibu na shoppers
Nyie jamaa ligi yenu huwa inanichekesha sana. Na huwa ni ndefuVipi Magdalena hujambo? Umepona Bawasili au bado inakutesa..
Haya maelekezo yamenifikisha mpaka getini kwa Yusuf wanaangalia na JK, nipo getini mlinzi kasema hana mamlaka yakuniruhusu au nimpigie simu Yusuf. Mwenye namba yake naiomba inbox.Regency Hotel pale, utaona njia nzuri inaingia kwa ndani ifuate hy hy
Kwa nini hukumuomba mlinzi namba ya Yusuf? au hana mamlaka ya kutoa namba? Ulimueleza shida yako ya kuonana na Yusuf ?Haya maelekezo yamenifikisha mpaka getini kwa Yusuf wanaangalia na JK, nipo getini mlinzi kasema hana mamlaka yakuniruhusu au nimpigie simu Yusuf. Mwenye namba yake naiomba inbox.
Shukrani kwa wote
Mkuu Kama una Nia kaa getini mpaka kielewekeHaya maelekezo yamenifikisha mpaka getini kwa Yusuf wanaangalia na JK, nipo getini mlinzi kasema hana mamlaka yakuniruhusu au nimpigie simu Yusuf. Mwenye namba yake naiomba inbox.
Shukrani kwa wote
Mtie elfu kumi huyo mlinzi atakupa namba then mwambie hutamtajaHaya maelekezo yamenifikisha mpaka getini kwa Yusuf wanaangalia na JK, nipo getini mlinzi kasema hana mamlaka yakuniruhusu au nimpigie simu Yusuf. Mwenye namba yake naiomba inbox.
Shukrani kwa wote
Wazo zuri haile eneo lipi.(kituo)Nenda kwa dadaake pale Haile Selassie kuna residential house with Arabic architecture nimesahau plot no, mwambie akuwezeshe kuonana na ndugu yake.
Hahahaha, ndio hapo Msasani kwa JK, regency hotel iko mbele yao
Kwingine ni hapa karibu na shoppers