Unamkataliaje rafiki?


na kazi anayoisubiria je?..binti hayupo serious,wakati huu ni wakufundishaa kumkataa m2?ni kama vile hajawahi kukmkataa m2 au ndio anasubiria kazi? kwangu mie anataka tips za kumzuga jamaa mpaka afanikiwe kumpatia kazi then ndio atajuaa cha kumwambia...
 
Nipe namba zake za simu nimuonye. Il uwe tayari kuikosa hiyo kazi anayokuunganishia, kwani yawezekana anakuunganishia kwa ajili ya kukuweka karibu kwa huo mkakati wake wa kimapenzi.

hayupo tayari kuikosa kazi, na hakuna mwenye uhakika kama mkaka anafanya kwa ajili ya mkakati wa kazi...
 
...The truth will set you free.
Ukiendelea 'kumlea,' ipo siku hizo "nataka-sitaki" utajishtukia anakubaka na kufuatiwa na "am sorry nyiiingi!"

abakwe nani na yeye yupo akisubiria tips za kumzugia jamaa amfanyie makeke na kazi june?shusha tips za kuzigia plz kuvuta muda.
 

Hahahaha!Sasa si awe muwazi tu!
 
ukipenda chongo utaita kengeza, kimsingi humpendi basi, ishia hapo. kinyume chake hivyo vigezo visingelikua na maana kama ungelimpenda, mwambie msimamo wako hataki muepuke kuwa naye mbali. PENZI HALILAZIMISHWI
 
Hivyo vyote siyo vigezo vya kumkataa mtu ukumbuke huyo ni mwanadamu kama wewe ,One more thing siku ukiwa tayari utamkosa hata huyu unayemkataa.Mwombe tu Mungu akusaidie i the only option .
 
Hivyo vyote siyo vigezo vya kumkataa mtu ukumbuke huyo ni mwanadamu kama wewe ,One more thing siku ukiwa tayari utamkosa hata huyu unayemkataa.Mwombe tu Mungu akusaidie i the only option .
ushauri mzuri sana, ila asikae kimya amweleze mwenzake
 
Dada heshimu maamuzi yako,achana na blabla za watu usijilazimishe kula kitu usichokipenda.
 
Umewezaje kuona kijiti kilichopo jichoni mwa huyo kijana ukiwa umeshindwa kuona ubanzi uliopo jichoni mwako?.
 

Hi Mzuanda,samahani kama nitakukwaza,ila Unaonekana hauko fair kabisa kwa mshikaji,kwa hakika jamaa umpendi kabisa sio tu kama mpenzi lakini pia umpendi kama rafiki,ila unakubali kuonekana nae na kuwa nae karibu kwa kuwa unamtumia kumaliza shida zako,yaani uko nae kwa kuwa ni potential ktk kufanikisha mambo yako....that is not fair kabisa..na ina wezekana jamaa amejenga ukaribu na wewe siku zote hizo kwa kuwa anakupenda na alikuwa anatafuta muda mahsusi akulilie...Kama ungekuwa na hata chembe ya Urafiki moyoni mwako juu yake usingeweza kumchora kihivyo......Kwa kifupi usitake advantage kwa jamaa kwa kudanganya unalinda urafiki wakati unataka kulinda maslahi yako binafsi.....Busara mpotezee mazima na acha kabisa kumtumia katika hayo uliyokuwa unafaidika nayo kwani hayo kwake ndio ilikuwa kigezo muhimu cha kukubali kuwa nae.
 


wote wawili hampendani na mna matatizo makubwa kuliko tunavyodhani...Huyo rafiki yako anahitaji MALIPO/FADHILA kwa wema anaokutendea..

Wewe nawe unahitaji kuacha KUMTUMIA huyo mtu wako..
 
we nawe wa wapi? unaweza kuwa na vigezo hata mia moja vinavofanya usimtake mtu.
hivyo vyote ukijumlisha ndio sababu zangu za kutomtaka

sina makalio makubwa, sinaktambi, nimtz, meno yangu meupe kbsaa, sisomi college1 na wwe. Niambie sasa kama mimi utanipenda ili nifanye aplication.
 
Kweli baniani mbaya ila kiatu chake dawa!

Tunasemaga kila siku ifike mahali dada zetu muelewe tu kwamba u cant eat ur cake and have it...

sasa wewe unataka kazi, msaada wa kimasomo, na favour kibao, hapo makalio wala meno yake huyaoni....inapofika kwenye kukutaka kimapenzi, hapo vyote hadi ucongo wake unauona

hebu tuambie, hiyo likizo yako ya mapenzi inaisha lini, kama kweli ipo ama ni kwa vile hajajitokeza tu wa kukidhi 'vigezo' vyako

to me thats very inhuman na najaribu kuimaginen hiyo elimu ya nje ya nchi inakusaidiaje kuelimika bora ungekuwa unasoma hapa hapa labda ungeelimika kujua namna ya kusitiri utu wa mwenzako!
 
stop dat men? hauwezi ukapata kila utakacho,chunga tamaa mbaya bt if she okay 4 dat let it be homie.
 
duh... ila usichague sana mwishowe ukaishia kukosa mme! sikiliza wimbo wa KEKUNDU.
 
hata ukimtema ukishapata hyo kaz,anaweza kukuharibia pia coz yy ndo 'kakuunganishia'...
 


some people are knowledgable..thanks mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…