Unamkataliaje rafiki?


kaizer wangu huyo ameongea.
Nikuletee nini mtoto mzuri?lol!
 
lol! we dada wewe i ca't u (sikuwezi) ulivomkandia jamaa utafikiri huwa tuanandka barua za maombi kwa sir God atupe maumbo fulani. acha kufuru ndugu yangu hujafa hujaumbika na wala hujazaa bado. kwa staili yako hii ya kupenda shape utapotea ndugu. kwa mfano ukimpenda mtu mnene na bahati mbaya akaugua akakonda mapenzi yataisha???? kama jamaa humpendi we mkaukie na wala ukiwa nae usizungumzie kuhusu mapenzi akileta mada ya mapenzi we mkatishe mwambie usingependa kuongelea. akikomaaa na we unakomaa na msimamo wako. in the mean time tafuta mpenzi achana na hayo maisha uliochagua ya relationship holiday yanakufundisha kuwa selfish.
 
Mueleze tu kiheshima kuwa urafiki wenu si wa mapenzi...unajua wanaume wengi huwa ukiwafanya rafiki wa karibu wao wanawaza tofauti....kwani nyi wanaume hamuwezi kuwa close na msichana na mkawa good friends without thinking of love?...mi nafikiri inawezekana ila ni kujilemaza tu na fikra duni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…