Nilivyokuwa mdogo nilikuwa namuita Adui Kubwa.
Nilivyokuwa mdogo nilikuwa namuita Adui Kubwa.
Nakumbukaga ile muvi starring mbwa
Mkuu Deshmo,naomba jina la hii movie,nimeiona mala moja tu kitambo sana.
Vipi nacheza vizuri sana kwenye ile VISHWATMA?,ndani iko na Sunny DeoDuh jamaa aki act adui hakuna anaemfikia ila kuna movie jina agneepath muigizaji sanjay dutt aliact adui duh hatar anaweza kucheza vizur akijitahid ila hamzidi amrish
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums