Unamkumbuka Esta Chabruma “Lunyamila”

Unamkumbuka Esta Chabruma “Lunyamila”

OC-CID

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
200
Reaction score
463
Leo nimemkumbuka winga hatari wa zamani wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania “Twiga stars” Esta Chabruma.

Huyu dada alikuwa na uwezo mkubwa sana hasa akitokea pembeni, angeweza kufunga magoli au kutoa assist maridhawa (assist) kwa wenzake kiasi cha kufananishwa uchezaji wake na Winga wa zamani wa Yanga, Edibily Jonas Lunyamila.

Ni miongoni mwa akina dada wa mwanzo kucheza soka la ushindani Tanzania na kufungua njia kwa wadada wengine kujitokeza kucheza mchezo huo unaoonekana kama mchezo wa kiume zaidi.

Siku hizi naambiwa ni kocha mkuu wa JKT Queens ambayo ni timu tishio kwenye Ligi Kuu ya Wanawake nchini.

Nimeamua nimpe maua yake angali akiwa hai💐💐
IMG_5723.jpeg
 
Leo nimemkumbuka winga hatari wa zamani wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania “Twiga stars” Esta Chabruma.

Huyu dada alikuwa na uwezo mkubwa sana hasa akitokea pembeni, angeweza kufunga magoli au kutoa assist maridhawa (assist) kwa wenzake kiasi cha kufananishwa uchezaji wake na Winga wa zamani wa Yanga, Edibily Jonas Lunyamila.

Ni miongoni mwa akina dada wa mwanzo kucheza soka la ushindani Tanzania na kufungua njia kwa wadada wengine kujitokeza kucheza mchezo huo unaoonekana kama mchezo wa kiume zaidi.

Siku hizi naambiwa ni kocha mkuu wa JKT Queens ambayo ni timu tishio kwenye Ligi Kuu ya Wanawake nchini.

Nimeamua nimpe maua yake angali akiwa hai💐💐View attachment 3269448
Amezeeka sasa, vp alishaolewa?
 
Mimi nilikuwa naishi karibu na Pub hilo jina nimelisikia kupitia nyimbo za dance
 
Leo nimemkumbuka winga hatari wa zamani wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania “Twiga stars” Esta Chabruma.

Huyu dada alikuwa na uwezo mkubwa sana hasa akitokea pembeni, angeweza kufunga magoli au kutoa assist maridhawa (assist) kwa wenzake kiasi cha kufananishwa uchezaji wake na Winga wa zamani wa Yanga, Edibily Jonas Lunyamila.

Ni miongoni mwa akina dada wa mwanzo kucheza soka la ushindani Tanzania na kufungua njia kwa wadada wengine kujitokeza kucheza mchezo huo unaoonekana kama mchezo wa kiume zaidi.

Siku hizi naambiwa ni kocha mkuu wa JKT Queens ambayo ni timu tishio kwenye Ligi Kuu ya Wanawake nchini.

Nimeamua nimpe maua yake angali akiwa hai💐💐View attachment 3269448
Huku kweli ni Lunyamila.
 
Fundi wa mpira huyo, game moja hivi vs Ethiopia 🇪🇹 aliupiga mwingi sana, siwezi sahau ile game sijui kama mabeki wa Ethiopia hawakulala na viatu game ile.
 
Back
Top Bottom