Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Ni Marc Dizzo,mchizi w da Skendo miaka ile ya 2000s,jamaa alikuwa anajua sana sema na yeye ndo dizaini ya Kina Jay Mo wakali sana ila nyota hawana..
Dizzo alikuwa member wa Dudu Baya,"Da Skendo" ambapo alipata kuhit na ngoma kama Sugar Mami ft Dully,Cheza nami,Nimuamini Nani,Jumba bovu,Mola Wangu etc
Dizzo alikuwa member wa Dudu Baya,"Da Skendo" ambapo alipata kuhit na ngoma kama Sugar Mami ft Dully,Cheza nami,Nimuamini Nani,Jumba bovu,Mola Wangu etc