Unamkumbuka huyu jamaa? Yuko wapi siku hizi?

Unamkumbuka huyu jamaa? Yuko wapi siku hizi?

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Ni Marc Dizzo,mchizi w da Skendo miaka ile ya 2000s,jamaa alikuwa anajua sana sema na yeye ndo dizaini ya Kina Jay Mo wakali sana ila nyota hawana..
Dizzo alikuwa member wa Dudu Baya,"Da Skendo" ambapo alipata kuhit na ngoma kama Sugar Mami ft Dully,Cheza nami,Nimuamini Nani,Jumba bovu,Mola Wangu etc
 
Ni Marc Dizzo,mchizi w da Skendo miaka ile ya 2000s,jamaa alikuwa anajua sana sema na yeye ndo dizini ya Kina Jay Mo wakali sana ila nyota hawana..
Dizzo alikuwa member wa Dudu Baya,"Da Skendo" ambapo alipata kuhit na ngoma kama Sugar Mami ft Dully,Cheza nami,Nimuamini Nani,Jumba bovu,Mola Wangu etc
 
Jumba bovu limeaniangukiaaaaa

sijui nini na nini peke yangu naliaa
 
Ni Marc Dizzo,mchizi w da Skendo miaka ile ya 2000s,jamaa alikuwa anajua sana sema na yeye ndo dizaini ya Kina Jay Mo wakali sana ila nyota hawana..
Dizzo alikuwa member wa Dudu Baya,"Da Skendo" ambapo alipata kuhit na ngoma kama Sugar Mami ft Dully,Cheza nami,Nimuamini Nani,Jumba bovu,Mola Wangu etc

Nilikuwa napenda ngoma yake ya bai show aliyowashirikisha Unique Sisters
 
Mara ya mwisho nilikutana nae kwenye bar ya mama yake inaitwa KBV ipo uwanja wa ndege njia ya kwenda karakata mwaka 2004.
 
Jamaa yupo na alitoa Nyimbo yake miaka kama mitatu iliyopita akiwashikirisha AY na FA inaitwa Nimwamini nani?

Anaonekana sana maeneo ya K.Koo kwa sana. Binafsi ni moja ya wasanii wa Hip Hop ninaowakubali kwenye Ushairi na kunata na beat..

Kuna track walifanya na Balozi Dola, Inspector Haroun na Imam Abbas inaitwa Homa ya Jiji. Jamaa anakipaji sana sema sijui tu anakwama wapi.

Mac Dizzo Halaaaahhhh!!
 
Jamaa yupo na alitoa Nyimbo yake miaka kama mitatu iliyopita akiwashikirisha AY na FA inaitwa Nimwamini nani?

Anaonekana sana maeneo ya K.Koo kwa sana. Binafsi ni moja ya wasanii wa Hip Hop ninaowakubali kwenye Ushairi na kunata na beat..

Kuna track walifanya na Balozi Dola, Inspector Haroun na Imam Abbas inaitwa Homa ya Jiji. Jamaa anakipaji sana sema sijui tu anakwama wapi.

Mac Dizzo Halaaaahhhh!!
Kuna Tangazo la Pepsi Big naskia kama sauti yake jamaa anaimba flan hivi
 
Jamaa yupo na alitoa Nyimbo yake miaka kama mitatu iliyopita akiwashikirisha AY na FA inaitwa Nimwamini nani?

Anaonekana sana maeneo ya K.Koo kwa sana. Binafsi ni moja ya wasanii wa Hip Hop ninaowakubali kwenye Ushairi na kunata na beat..

Kuna track walifanya na Balozi Dola, Inspector Haroun na Imam Abbas inaitwa Homa ya Jiji. Jamaa anakipaji sana sema sijui tu anakwama wapi.

Mac Dizzo Halaaaahhhh!!
Wewe ni mfuatiliaji mzuri wa hip hop ya bongo......Dah...ndo Mara ya mwisho kumsikia humo ndani...video yake ilikuwa Kali sana alisimamia Adam Juma dah....kuna ladha flan ivi ya kibongo tumeimiss now days....!!....Unaishi vipi Dizzo nimezungukwa na wachawi
 
Back
Top Bottom