MweeehHata kama umetukumbusha lkn Huu wimbo toka zamani ulikua mbaya
Alifungwa kwa tuhuma za wizi wa pikipiki sijui alishatokaHaha nimekumbuka mbali aisee,
Sijui waziri sonyo yuko wapi aisee?
Alikuwa anajiita OCD alikuwa Chuo Mlimani nasikia Ali disco...kuna ngoma moja ya jamaa anaitwa sijui "ocg" ngoma inaitwa kazeze, gonjwa hii limetuletea kizazaa kasheshe ni kazeze gumzo, kibisa kapiga raba mtotoni ...nimesahau mistari
Sio Ocg aliyeimba Aquelina?Alikuwa anajiita OCD alikuwa Chuo Mlimani nasikia Ali disco...