Unamkumbuka kwa yapi Abdul-Rahman BABU?

Mkuu Proved , usikumbushie hizi posts za jf ile ya 2008, wengine saa hizi ni makada watiifu wa chama, sasa ukifukua tuliwahi kusema nini kule nyuma, unaweza kutuponza tuitwe wahaini!.
P
Kwani ulichokiandika kilikuwa cha uongo mpaka uingie wasiwasi zama hizi ?...
 
... Those days
 
Umri wangu mdogo Sana ila nimejifunza kitu kupitia huu Uzi...

Nihitimishe kwa kusema haya yanayotendwa na wanaCcm sio bahati mbaya...

Nchi ilikuwa na wanamageuzi waliolalia falsafa tuuuu..Hakuna Succession Plans zilizoachwa na wanaMageuzi ambazo zingeweza kuongoza Taifa Kama mipango ya kudumu ya maendeleo..
Na hii ndio maana Mwinyi aliingia na yake,,Mkapa yake na wengine pia..

Lkn wanaMageuzi walitumia muda mwingi kupanga namna ya kunyakua madaraka Nafikiri nakuna aliyeridhika na cheo alichokapata.(palikuwa na Vita vya madaraka KWELIKWELI) .


Basi tuseme tu taifa lilijikwaa toka mwanzo wa Uhuru..
 
Kwani ulichokiandika kilikuwa cha uongo mpaka uingie wasiwasi zama hizi ?...
Mambo yote ninayoandika jf ni kweli, mfano niliwahi kusema ukweli kuhusu chanzo cha umasikini wa taifa hili ni nani, that was then, leo mimi ni kada, ukiweka post yangu mfano huko nyuma niliwahi kuuliza Hivi Kweli Kuna Mtanzania, Mwenye Akili Zake Timamu, Anaweza Kuichagua Tena CCM?!. Kwa Lipi?!.

Pia Licha ya CCM kuwa chanzo cha umasikini, ujinga, rushwa na ufisadi, kwanini CCM bado huwa inashinda chaguzi mbalimbali?

Pia Kwanini CCM inaendelea kushinda chaguzi, licha ya kuwa ndio chanzo cha umasikini wa taifa letu, rushwa na ufisadi?!

Pia Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?

Vyote hivyo ni kweli, ila ukikumbushia Kwa Leo, watakaosoma leo wataona nimesema Leo!.

P
 
Babu alikuwa kichwa sana... Tanzania ilikuwa na watu wengi sana vichwa, lakin Nyerere alijitahid kuwa undermine ili yeye ndo aonekane bora. Akiwafunga, kuwaweka vizuizini huko vijijini na wengine wakikimbilia uhamishoni. Nyerere mtu mbaya sana
 
Nyerere ni mtu muovu sana na alipenda uungu mtu. Japo alikuwa anajifanya anaweza kubali maamuzi yanayotokana na vikao.. uongo. Alikuwa hapendi watu wenye akili kuzidi yeye, alikuwa anapenda watu kama kina kawawa
 
Wewe kila mahali unaona ni sehemu ya kujisifu na kuweka makala zako ambazo haziendani na mada! Hizo uzi zako zote hapo ni ipi inamzungumzia Babu? Watu tunamjadili Babu wewe unaleta mambo yako ya kujisifu hapa!
 
Nyerere ni mtu muovu sana na alipenda uungu mtu. Japo alikuwa anajifanya anaweza kubali maamuzi yanayotokana na vikao.. uongo. Alikuwa hapendi watu wenye akili kuzidi yeye, alikuwa anapenda watu kama kina kawawa
Nyerere ni mmoja ya Marais wachache wenye akili ambaye Tanzania ilipata. Na ni ngumu kuja mpata mtu kama yeye tena.
 
Nyerere ni mmoja ya Marais wachache wenye akili ambaye Tanzania ilipata. Na ni ngumu kuja mpata mtu kama yeye tena.
Akili ipi ya kuidumbukiza nchi kwenye umasikini wa kutupwa, watu walivaa kaniki, sabuni walitumia majani ya mpapai, sukari ilikuwa ni anasa!
 
Kuna mama wa kimarekani alikua anapambana na Baby kwenye moja ya vikao vya un hahaha Babu aliwapinga wamarekani waziwazi...
 
Hii thread imenitoa machozi. Imenirudisha nyuma siku za Jambo Forum na hawa magwiji wakitoa busara zao hapa jamvini. Enzi hizo hakuna smart phone za kuuza kwa mafungu Kariakoo na watu weledi tu waliokuwa wana access na computer zenye Internet. Na wewe ulikuwa ulikuwa unatumia ile ID ya ''Pasco'' na hukuwa unajitoa ufahamu kama sasa.
 
Akili ipi ya kuidumbukiza nchi kwenye umasikini wa kutupwa, watu walivaa kaniki, sabuni walitumia majani ya mpapai, sukari ilikuwa ni anasa!
Unasimuliwa halafu hata huchanganyi na akili zako. Huelewi lolote maskini. Ninyi kwa nini hampendi shule kabisa?
 
Pole, human beings are not static, they are dynamic and hence they change with time, place and circumstances. We are living in a jungle, the laws of the jungle applies, it's a constant struggle for existence, and the survival is only for the fittest, to be fit and survives you have to adapt to the changing environments. I'm a survival ndio maana nipo mpaka leo. Count wangapi wa Jambo Forum tuko nao mpaka leo?.
P
 
Mwalimu regret it's decision to hand over Hanga to Karume, he didn't want to repeat the same mistake to Babu
 
Nilikuwa tu naionaga hii picha ya Malcom X akiwa na mwamba ola sikudhania kabisa kama atakuwa Babu mpk baada ya kupitia huu uzi.
 
Days of Quality comparing with what we have now..., Quantity... (not necessarily with quality)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…