Unamkumbuka mpenzi wako wa sekondari? Alikufanyia nini cha kukumbukwa?

Unamkumbuka mpenzi wako wa sekondari? Alikufanyia nini cha kukumbukwa?

roselyn2

Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
86
Reaction score
388
1. Alinilipia deni la vitabu viwili vilivyoibiwa nikiwa kidato cha pili mwezi wa 11 bila ya mimi kumfahamu. Nikiwa kidato cha tatu niliibiwa begi na vitabu ndani yake, wakati nimefikishwa staff natishiwa adhabu, alikuja na vitabu vipya viwili na kumkabidhi yule mwalimu. Mwalimu akamuuliza, "Tena! Unamlipia deni kwa mara nyingine! Kwani wewe na huyu ni ndugu?". Kesi ikaishia hapo. Wiki moja baadae alinifungukia, japo alikuwa anatetemeka na kutokwa jasho jingi huku akimung'unya maneno[emoji23][emoji23]

2. Kuna kipindi nilichelewa kufika shuleni kwenye zamu ya yule mwalimu aliyekosana na mkewe[emoji23][emoji23] Akanipatia adhabu ya kufanya usafi ofisi ya taaluma baada ya muda wa vipindi. Huyu kaka alinambia nikapumzike mahali, yeye atafanya peke yake. Na kweli alisafisha vyema mpaka walimu wakanisifia kesho yake

3. Kuna mwalimu mmoja hivi wa kiume alikuwa ni zoazoa, anatumia nafasi yake kulazimisha ngono. Baada ya kuona napingana nae alianza kunipatia adhabu za hapa na pale na vipigo. Kuna siku kanikata kibao cha nguvu darasani bila kosa, huyo kaka kainuka pale na kumpatia kipigo maskini[emoji23] mpaka mdomo wa yule mwalimu mshnz ukapasuka vipande viwili kama pazia la hekalu[emoji23] Akafukuzwa shule kwa kunitetea mimi

Nimeyakumbuka haya yote baada ya kukutana na profile yenye picha yake kwa mtandao wa facebook

We unamkumbuka yupi kwa yapi?
 
Nilimtongoza akasema vipi baba yake akijua, nikaogopa ila siku hiyo usiku nikatafakari kumbe sio kwamba hanipendi ila tu anamuogopa baba yake. Kesho yake nikamwambia iwe siri baba hatojua, alikuwa mchungaji na yuko board ya shule. Nikajilipua tukapendana sana ila tukashindwa kuishi kwa siri. Ila mama yake alikuwa ananikubali, na nilikuwa naenda sana kwao nikiamini hawajui.

Alifariki nikiwa 1st year chuo
 
Alikuwa kiongozi jikon shule ya mchanganyiko,siku za nyama naletewa bakuri limejaa nyama ila nyama zenyewe nilikuwa sizipendi kihivyo
Ni kiongoz lakin eneo langu la kufanya usafi anafanya yeye
Alijiweka wazi mpaka kila mtu akajua kuwa namkula
 
1. Alinilipia deni la vitabu viwili vilivyoibiwa nikiwa kidato cha pili mwezi wa 11 bila ya mimi kumfahamu. Nikiwa kidato cha tatu niliibiwa begi na vitabu ndani yake, wakati nimefikishwa staff natishiwa adhabu, alikuja na vitabu vipya viwili na kumkabidhi yule mwalimu. Mwalimu akamuuliza, "Tena! Unamlipia deni kwa mara nyingine! Kwani wewe na huyu ni ndugu?". Kesi ikaishia hapo. Wiki moja baadae alinifungukia, japo alikuwa anatetemeka na kutokwa jasho jingi huku akimung'unya maneno[emoji23][emoji23]

2. Kuna kipindi nilichelewa kufika shuleni kwenye zamu ya yule mwalimu aliyekosana na mkewe[emoji23][emoji23] Akanipatia adhabu ya kufanya usafi ofisi ya taaluma baada ya muda wa vipindi. Huyu kaka alinambia nikapumzike mahali, yeye atafanya peke yake. Na kweli alisafisha vyema mpaka walimu wakanisifia kesho yake

3. Kuna mwalimu mmoja hivi wa kiume alikuwa ni zoazoa, anatumia nafasi yake kulazimisha ngono. Baada ya kuona napingana nae alianza kunipatia adhabu za hapa na pale na vipigo. Kuna siku kanikata kibao cha nguvu darasani bila kosa, huyo kaka kainuka pale na kumpatia kipigo maskini[emoji23] mpaka mdomo wa yule mwalimu mshnz ukapasuka vipande viwili kama pazia la hekalu[emoji23] Akafukuzwa shule kwa kunitetea mimi

Nimeyakumbuka haya yote baada ya kukutana na profile yenye picha yake kwa mtandao wa facebook

We unamkumbuka yupi kwa yapi?
What a waste for the boy
 
Kipindi tunasoma secondary mkoani nilikuwaga na baiskeli yeye alikuwa shule nyingine.Ilikuwa kila ijumaa ambayo ni siku ya michezo nampakiza anakaa kike wazee hii feeling siwezi sahau huyu demu mpaka leo nipo nae
Safari ya mapenzi [emoji847][emoji847]
 
Nilimtongoza akasema vipi baba yake akijua, nikaogopa ila siku hiyo usiku nikatafakari kumbe sio kwamba hanipendi ila tu anamuogopa baba yake. Kesho yake nikamwambia iwe siri baba hatojua, alikuwa mchungaji na yuko board ya shule. Nikajilipua tukapendana sana ila tukashindwa kuishi kwa siri. Ila mama yake alikuwa ananikubali, na nilikuwa naenda sana kwao nikiamini hawajui.

Alifariki nikiwa 1st year chuo
So sad😭😭, I can't imagine maumivu uliyoyapata. Chanzo ilikuwa nini mkuu?
 
Nikiwa form 2,
Kwenye choo Cha shule
Nilikalia dumu,akanikalia juu tukafanya Akasquirt mno nikaenda nyumbn nmeloa uniform suruali yote na shati nusu[emoji39]

Alikua muhaya,
Jina lake aliitwa KEMILEMBE MUTAYOBA,

Tangu hapo,
Mimi na wanawake wasiomwaga tumejenga uadui mkubwa Sana, Zaid ya paka na panya

KAMA yumo humu, anicheck pm
Maana tumepotezana miaka mingi imepita[emoji4]
 
Kipindi tunasoma secondary mkoani nilikuwaga na baiskeli yeye alikuwa shule nyingine.Ilikuwa kila ijumaa ambayo ni siku ya michezo nampakiza anakaa kike wazee hii feeling siwezi sahau huyu demu mpaka leo nipo nae
Safari ya mapenzi [emoji847][emoji847]
Mkuu ndio mkeo?
 
Back
Top Bottom