MTAtiro grandson
Member
- Aug 18, 2019
- 80
- 177
Eti je, unamkumbuka mwalimu wako wa darasa kuanzia la kwanza mpaka ulipo maliza shule? Je,unakumbuka wimbo wa shule ya msingi uliposomea?
Je, ni tukio gani huji kulisahau kamwe katika maisha yako ulilofanya au kukutokea ukiwa shuleni? Je,unakumbuka jina kamili la mwalimu mkuu wa shule ya msingi uliosomea?
SOMA >a, e, i, o, u hahahaaa basi hapo nimekukumbusha mbali lakini kumbuka maisha hayo kwako hayatajirudia tena kamwe mpaka utakapokufa na hata ukifa bado hayata jirudia tena mpaka Mungu mwenyewe apange vinginevyo basi ndiyo imetoka.
~NIWATAKIE USIKU MWEMA.
Je, ni tukio gani huji kulisahau kamwe katika maisha yako ulilofanya au kukutokea ukiwa shuleni? Je,unakumbuka jina kamili la mwalimu mkuu wa shule ya msingi uliosomea?
SOMA >a, e, i, o, u hahahaaa basi hapo nimekukumbusha mbali lakini kumbuka maisha hayo kwako hayatajirudia tena kamwe mpaka utakapokufa na hata ukifa bado hayata jirudia tena mpaka Mungu mwenyewe apange vinginevyo basi ndiyo imetoka.
~NIWATAKIE USIKU MWEMA.