Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Hiki ni kikosi cha Ghana kilichoshiriki Kombe la Dunia mwaka 2010 pale bondeni South Africa na safari yao ilisitishwa robo fainali na Uruguay baada ya Luis Suarez kudaka mpira uliokuwa unaenda wavuni. Je unawakumbuka?