UNAMTUMIA HELA ALAFU ''mbona nikidogo hivyo?'' ni sawa?

UNAMTUMIA HELA ALAFU ''mbona nikidogo hivyo?'' ni sawa?

MARCKO

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
2,258
Reaction score
275
Jf naomba maoni kidogo. Eti demu wako anakuomba hela na hali yako iko vibaya ; lakini unajipigapiga unamtumia ka elfu 20. Eti ana sema mbona kidogo hivyo? Hata bila kushukuru. Is it fair?
 
ukiona hivyo ujue kuna jamaa linatoa zaidi yako! hatua ya uchumba au galfriend na Boyfriend siku hizi ni PASUA kichwa mno, always kuna kuna na udanganyifu mkubwa sana na kutoridhika, so mkuu kaza moyo!
 
Haya mapenzi ya kuombana hela enzi zetu hayakuwepo. Ina maana mkiachana inabidi arukie tawi lingine, sio? Manake kila wakati anahitaji supplier? Kha!
 
Kweli ubinadamu kazi.

Huyo jua tu hana shukrani, na mtu asiye na shukrani ni mtu asiyejua kuridhika. Unaweza ukamfanyia hata mambo makubwa na bado usisikie asante yake, ukaishia kuambulia malalamiko. Kama unaweza ongea nae, mweleze kwamba hulazimiki kumfanyia chochote (wewe sio baba yake) hivyo kama unayomfanyia hayamtoshi atafute anaeweza zaidi. Asikubabaishe!!
 
Huyo kakufanya ATM machine yake! Anataka tu akitaka hela kidogo,achomoe kama elfu 50 hv.Pole sana,huyo sio mwanamke wa kuishi nae,atakuaibisha huyo siku ukiishiwa ndani ya nyumba.Pia umchunguze sana,pengine kuna anamlea tofauti na wewe,na pengine anapata donge nono zaidi kuliko unalompa. LAKINI NAJIULIZA,KWA NINI WANAWAKE WANAKUWA HIVYO? Ndo maana wengi wanaishia kumegwa na mwishowe wanaachwa.
 
Kweli ubinadamu kazi.

Huyo jua tu hana shukrani, na mtu asiye na shukrani ni mtu asiyejua kuridhika. Unaweza ukamfanyia hata mambo makubwa na bado usisikie asante yake, ukaishia kuambulia malalamiko. Kama unaweza ongea nae, mweleze kwamba hulazimiki kumfanyia chochote (wewe sio baba yake) hivyo kama unayomfanyia hayamtoshi atafute anaeweza zaidi. Asikubabaishe!!
Swadakta. Hili ndiyo jibu . mama nimekukubali.
 
Asa kama huna pesa unang'ang'ana na wanawake wa kazi gani?
 
Sasa ulitaka akudanganye na ukweli Tshs 20k is nothing!
 
Heeeee! Kumbe hii wengi inanawakuta!!!!!!!!
 
Sasa ulitaka akudanganye na ukweli Tshs 20k is nothing!
madameX naona umekuja ki vingine- umeamua kutonesha macho yako - big up wewe utatoa shukrani dau likiwa shiling ngap ??
 
Huyo hakufai moyo wake unapenda pesa zaidi ila nawewe kama humwelezi ukwel kuhusu hali yako kiuchumi "utakula vumbi" maana vijana wengi tunajifanya wajanja tusionekane hatuna kwa mabinti. Na kama anaelewa ila havumilii wala kuridhika kwakidogo umpatiacho achana nae maana hata kama utamuoa ndo atakua anakuhesabia akisema "...kwani wewe unatumia pesa ngapi nje?,...siku ile ulinunua viatu nikanyamaza, juzi umenunua suruali nikakuangalia tu,...na jana nilikukuta umenunua soda unakunywa na rafiki zako...." habari kama hizi zitakufanya upasuke kichwa. TRAIN YOU WIFE, IT IS NOT GOOD TO LIVE ALONE BUT DON'T LOOK FOR AN ANGEL.
 
Inategemea wewe ulianza naye vipi,,
kama ulijitapa kwake kwamba wewe ni mtoto wa Jei Kei obviously ukimtumia 20K lazima atahoji..
Tafakari, chukua hatua.
 
Huyo kakufanya ATM machine yake! Anataka tu akitaka hela kidogo,achomoe kama elfu 50 hv.Pole sana,huyo sio mwanamke wa kuishi nae,atakuaibisha huyo siku ukiishiwa ndani ya nyumba.Pia umchunguze sana,pengine kuna anamlea tofauti na wewe,na pengine anapata donge nono zaidi kuliko unalompa. LAKINI NAJIULIZA,KWA NINI WANAWAKE WANAKUWA HIVYO? Ndo maana wengi wanaishia kumegwa na mwishowe wanaachwa.



point of corctn;
SI WANAWAKE WOTE WAPO IVYO...
na ndo maana kuna wanawake wengine wanatunza maboy frend/wachumba/waume zao.
 
Na siku nikikutana nae nampeleka gest ya 1500/= na baada ya mchezo nampa nauri ya daladala tu 300/=
 
Ndo maana mi nawish niwapate mabinti wanaojiweza., tatizo huwa siwapati asee...:crying:
 
Unajua ili kuepuka mambo kama hayo siku nyingine unatakiwa umwambe hela unayotaka kumtumia kabla. Reaction yake haiwezi kuwa mbaya maana hiyo mtakuwa mshakubaliana kabla. Sasa wewe amekwambia ana shida ya M unasema hiyo sina ila ntakutumia kidogo alafu unatuma 20.
 
kama kidogo,mbona na yeye anaomba?mwambie na yeye akugaie.asie na shukurani.huyo atakupelekesha.ajipange atafute mwenyewe
 
Back
Top Bottom