Unamtwangaje mumeo shoka la kichwa kisa amekusaliti?

Unamtwangaje mumeo shoka la kichwa kisa amekusaliti?

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Wanawake mbona mmekosa huruma namna hii?

Yaani kabisa unaenda kununua shoka kisha unainoa vizuri kabisa kwa lengo la kumtwanganalo mumeo?

Tukio hili la manyara limenisikitisha sana. Imefikia hatua wanaume tumegeuzwa kuni kweli!

Ungana na Mimi kupinga vitendo vya kinyama tunavyofanyiwa na wanawake.

Tunawaambia wanawake kuwa sisi wanaume sio matanuri ya kutuchoma moto pia sisi sio kuni za kukatwa na shoka.

MAPENZI SIO UGAIDI
 
Dadeki yule wakwangu alivyombishi natumai akinifuma atakuja na RPG au bomu lolote na kalivyo kalokole nikifa kabla sijafika mbinguni nitakuta mashitaka yangu kabisa kwa Mungu na kwa shetani.. nikifika tu naambiwa nenda kule kunakofuka moshi..☹️
 
Dadeki yule wakwangu alivyombishi natumai akinifuma atakuja na RPG au bomu lolote na kalivyo kalokole nikifa kabla sijafika mbinguni nitakuta mashitaka yangu kabisa kwa Mungu na kwa shetani.. nikifika tu naambiwa nenda kule kunakofuka moshi..[emoji3525]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu kaa njia kuu tusije kukupoteza
 
Dadeki yule wakwangu alivyombishi natumai akinifuma atakuja na RPG au bomu lolote na kalivyo kalokole nikifa kabla sijafika mbinguni nitakuta mashitaka yangu kabisa kwa Mungu na kwa shetani.. nikifika tu naambiwa nenda kule kunakofuka moshi..[emoji3525]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinachosikitisha bunge limekaa kimya wameshindwa kuona kwamba mbegu inapotea yanabaki mashamba tu,
 
Dah hali ni mbaya sana..wanatuvizia sana hawa wenzetu wanasema heri tukose wote..
 
Ndo muwe mnaoa wanawake ambao wamegusa hata form four,hawa wengine huwa wakipata bwana hawajui kuwa kuna kuachana.Chunguza matukio yote utagundua wanaohusika hawana elimu yoyote,maana elimu siyo kupata kaz tu elimu ni kuelimika pia ili uweze kuishi na jamii
 
Back
Top Bottom