Unamtwangaje mumeo shoka la kichwa kisa amekusaliti?

Muishi katika viapo na makubaliano yenu

Ukisaliti hujui reaction ya mwenzio

Tena kimbia.mbaaaaliiiii umsome.kwa mbali

Sio kila mtu analia au anasamehe!!!
 
You're very intelligent [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mbona Neema Mushi ana degree ya psychology na bado akamtia mtu kiberiti?
 
Nadhani level ya Unyama aliofikia Mwanamke kwa sasa inatisha, hasa wakibongo.

Hivi suala la kufumania ndiyo hukumu yake iwe kuua tena kwa kumkata shoka Mumeo?

Mambo haya kama hatua stahiki hazitachukuliwa litaleta madhara makubwa siku za usoni. Vijana wataogopa kuoa kabisa kwa kuogopa vifo vya namna hiyo

Liverpool VPN
 
Kama wanashindwa kujizuia kuchepuka na wasioe
 
Wanawake wanapewa mibichwa kiasi kwamba wanazidi kufanya mambo ya ajabu. Shetani anaharibu dunia kwa kupitia mwanamke kama ilivyo kwa adamu
 
Mbona wewe hukuwa na huruma ulivyompa yule naniliu 7800?

Hebu tusipangiane matumizi ya huruma bhana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kila mtu apambane na huruma zake bwana. Kibao kimegeuka!
 
To yeye weweee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…