mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
ttzo una changanya mambo mwisho wa cku hata ww una changanyikiwaLeo watu wapo busy na mafisadi waliokuwa ccm kukabidhiwa rasmi chama cha chadema
Ni ya lini hiyo manake last wiki alitupia moja
Mda kidogo ila nashindwa kujua magazeti yetu kila siku yanang'ang'a kuandika uhuni ea wasanii na wakati tunahitaji update za mtu kama huyu...ya lini hiiii
Huyu jamaaa yuko vizuri sana na akiendelea ivo nazan atafika mbali sanaNi ya lini hiyo manake last wiki alitupia moja
Na kweli mkuu..... Nimetafta hata vids nyingi nakosa... Ukitafta video za tff nyingi ni za majungu tuuTupieni tuu humu wakuu maana TFF pale wanatunza kumbukumbu za mapato na si rekodi za wachezaji.
Yap umeonaaeeeSamata yupo vizuri sana haya magazeti yetu wapo busy na matokeo ya mechi za bonanza..
Kivipi mkuu sjakuelewa..Huku watu hawatoi like jaman
Yan hamna like nKivipi mkuu sjakuelewa..
Kwan ulikua unaitaji?Yan hamna like n
YesKwan ulikua unaitaji?