Unamuitaje Boyfriend/Girlfriend wako?

Mkuu,

Mbona wameulizwa wenye GF/BF? Hivi mke au mume ni BF/GF???

Nadhani tuwaachie watoto wafanye mazoezi ya kubadili rika!!

Kama mapenzi yenu hayatambuliwi na Gov ya Mkw,e.re Huyo mama watoto au baba watoto ni BF na GF tu Jukwaa lako
 
Jina lake la kiserikali........,nia na madhumuni ya huu uzi ni nini mkuu?
 
Aende Facebook kwa wauza sura. Under 18 kibao kule...

Under 18 DHW Pangejufaa sana pole Imekufa,humu kama utakomaa mapema vile anyway sheria za hapa pengine zinaruhusu.
 
Mhhh, wewe yanini? ili ukamute umpendaye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…