Ford Rwahura
Member
- Apr 6, 2020
- 31
- 27
Huna kazi, huna biashara, huna urithi, huna pesa, hujasoma UDSM, huna ujuzi wowote, huna mzazi tajiri, huna kipaji halafu unamuomba Mungu akupe maisha marefu, sasa utakula nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula ili tuishiHivi tunakula ili tuishi??? au tunaishi ili tule??? Tuanzie hapo!
wewe namweka mada mnatuchanganya...!Hivi tunakula ili tuishi??? au tunaishi ili tule??? Tuanzie hapo!
Ford Rwahura umesikia mdau alivyosema? Wewe unasemaje? Kinachotangulia ni chakula au maisha! Kama unaanza kuishi kabla ya chakula, basi uwe na uhakika huyo anayekuwezesha kuishi atakupa chakula! Kinyume chake haiwezekani kwamba unakula ili uishi??? Mmmh? Chakula hakina uwezekano wa aina yoyote kukupa uhakika wa maisha! Kwahiyo hata kama huna vyote mleta uzi alivyovitaja ukimuomba Mungu utapata maisha!Kula ili tuishi
😂😂😂Wewe jamaa t*ko kweli...kwani akina mondi, mo na manji wamesoma udsm...Huna kazi, huna biashara, huna urithi, huna pesa, hujasoma UDSM, huna ujuzi wowote, huna mzazi tajiri, huna kipaji halafu unamuomba Mungu akupe maisha marefu, sasa utakula nini?
Life is Dynamic not Static.......Huna kazi, huna biashara, huna urithi, huna pesa, hujasoma UDSM, huna ujuzi wowote, huna mzazi tajiri, huna kipaji halafu unamuomba Mungu akupe maisha marefu, sasa utakula nini?
Haya ni mawazo ya watu waliokosa hekimaHuna kazi, huna biashara, huna urithi, huna pesa, hujasoma UDSM, huna ujuzi wowote, huna mzazi tajiri, huna kipaji halafu unamuomba Mungu akupe maisha marefu, sasa utakula nini?
Wana kipaji😂😂😂Wewe jamaa t*ko kweli...kwani akina mondi, mo na manji wamesoma udsm...