Hii inafikirisha Sana, mtu anatoa sadaka Mali Yake kwa Mali kauli, anakupa huduma, unaiona pesa hutumi na bado unamwita tapeli?
Watanzania tunafail Sana. Tubadilike, maisha kwa Sasa yamehamia mtandaoni. Na ili ufanikiwe inabidi uwe mwaminifu wa Mali ya mtu.
Maneno maneno na kuharibiana biashara sio mazuri hata kidogo.
Unaambiwa kabisa, utalipia ukipata huduma na kuridhika nayo, wewe una comment ACHA UTAPELI, seriously
Watanzania tunafail Sana. Tubadilike, maisha kwa Sasa yamehamia mtandaoni. Na ili ufanikiwe inabidi uwe mwaminifu wa Mali ya mtu.
Maneno maneno na kuharibiana biashara sio mazuri hata kidogo.
Unaambiwa kabisa, utalipia ukipata huduma na kuridhika nayo, wewe una comment ACHA UTAPELI, seriously