KUna watu Kama mleta mada. Wanakuambia kulipà mpaka mzigo ufike lakini mchakato ukianza wanaleta mambo ya kulipia 30% na ikishalipwa ndo ntolee. Kwasasa tuseme online business Kwa Tanzania imetushinda
Hata mimi imenishangazaule uzi wa lugano na jimmygatete ndo umefutwa au imekuwaje, heading si ilikuwa ni hii hii na mwenye uzi ni lugano. Hawa mod washaifanya JF choo cha stend yani mambo ni shaghala baghala.