Unaniacha kwa vile umepata unachokitaka.

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Hii kauli inakera sana,mnashindwana kwa mambo mengine ila yeye anang'ang'ania 'umeniacha kwa vile umeshapata ulichokitaka"

Kwani we ulikuwa hutaki?
 
Sasa hapo kinachokukera ni nini?? Na kwanini hiyo kauli ikuguse saaana?
 
Sasa hapo kinachokukera ni nini?? Na kwanini hiyo kauli ikuguse saaana?

inanigusa kwasababu nia yangu haikuwa hicho kauli chake
 
Kama ni utupu hata mimi si nimeona wa kwako....ngoma droo! kauli kama hizi za kujilegeza ndo zinazowapa kichwa wanaume na kuona kweli wanawake ndo huumia kama mkibreak mapema......
 
Nafuu hiyo mkuu kuna wanayosema umenichezea sasa umenichoka ndo najiuliza kama mimi nimekuchezea wewe hujanichezea.Hii jinsia kukaa nayo unahitaji uvumilivu sana
 
Ukiona hivyo ujue yeye bado anataka, tena anataka dudu tu, hamna jingine.

Mi kauli hizo huwa nazimaliza kwa kula mzigo tena, na sikunyingine akitaka namtafuna tena, hata kama uhusiano wetu ulishakwisha.
 
Wewe ndo umekariri kuwa hiyo kauli hutoka kwa wanawake!! We umeshaachana na wangapi ambao wamekutamkia hivyo??

swali inabaki kwani yeye alikuwa hataki ninachompa?
 
Kama ni utupu hata mimi si nimeona wa kwako....ngoma droo! kauli kama hizi za kujilegeza ndo zinazowapa kichwa wanaume na kuona kweli wanawake ndo huumia kama mkibreak mapema......

hii kauli inaonyesha kama yeye alikuwa haenjoy mlipokuwa pamoja
 
Wanaosema hayo Maneno ni wale wasio jiamini umenichezea,umenitumia,sasa ushapata mzuri anaekufa, kwangu ulijishikiza tuu haya nenda kwa huyu alokua mtamu na mzuri zaidi,kama unajiamini akikwambia staki mwambie naiwe basi nilikua nakuonea vibaya kukwambia lakini hasa nilikua nishachoka umefanya jambo la kiume sanaaaaa kusema basi haya mwenzangu kila la kheir... na unaanza kujipanga tena upya.
 
Nafuu hiyo mkuu kuna wanayosema umenichezea sasa umenichoka ndo najiuliza kama mimi nimekuchezea wewe hujanichezea.Hii jinsia kukaa nayo unahitaji uvumilivu sana

labda hawajielewi mana ule mchezo mnacheza pamoja
 
Ukiona hivyo ujue yeye bado anataka, tena anataka dudu tu, hamna jingine.

Mi kauli hizo huwa nazimaliza kwa kula mzigo tena, na sikunyingine akitaka namtafuna tena, hata kama uhusiano wetu ulishakwisha.
kwahiyo anaogopa atamiss nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…