Kama ni utupu hata mimi si nimeona wa kwako....ngoma droo! kauli kama hizi za kujilegeza ndo zinazowapa kichwa wanaume na kuona kweli wanawake ndo huumia kama mkibreak mapema......
Wanaosema hayo Maneno ni wale wasio jiamini umenichezea,umenitumia,sasa ushapata mzuri anaekufa, kwangu ulijishikiza tuu haya nenda kwa huyu alokua mtamu na mzuri zaidi,kama unajiamini akikwambia staki mwambie naiwe basi nilikua nakuonea vibaya kukwambia lakini hasa nilikua nishachoka umefanya jambo la kiume sanaaaaa kusema basi haya mwenzangu kila la kheir... na unaanza kujipanga tena upya.
Wanaosema hayo Maneno ni wale wasio jiamini umenichezea,umenitumia,sasa ushapata mzuri anaekufa, kwangu ulijishikiza tuu haya nenda kwa huyu alokua mtamu na mzuri zaidi,kama unajiamini akikwambia staki mwambie naiwe basi nilikua nakuonea vibaya kukwambia lakini hasa nilikua nishachoka umefanya jambo la kiume sanaaaaa kusema basi haya mwenzangu kila la kheir... na unaanza kujipanga tena upya.
Haya ndo maneno...me nakumbuka eti mmoja alijifanya kuntishia eti anaoa nikamjibu sawa hakuna tabu...akajibu eti simpendi ..nkamuuliza why...akajibu why nimruhusu aoe....nikamjibu moja ya namna ya kushow love ni kumuacha umpendae awe na furaha, so kama kuwa na furaha kwake ni kumuoa hyo anayemtaka ni powa....!! akabaki anajilalamikia..., so hawa viumbe ni kujifanya mgumu hata kama umeumia....hakuna kulegea
Haya ndo maneno...me nakumbuka eti mmoja alijifanya kuntishia eti anaoa nikamjibu sawa hakuna tabu...akajibu eti simpendi ..nkamuuliza why...akajibu why nimruhusu aoe....nikamjibu moja ya namna ya kushow love ni kumuacha umpendae awe na furaha, so kama kuwa na furaha kwake ni kumuoa hyo anayemtaka ni powa....!! akabaki anajilalamikia..., so hawa viumbe ni kujifanya mgumu hata kama umeumia....hakuna kulegea
mimi penda hii.
pole sana kwa wapenda kuchovya halafu wanatoka nduki..
Mrembo by Nature,wanawake wangefanya kama ulivyosema wanaume tungenyooka!
Mrembo by Nature nimependa ujasiri wako!
Nafuu hiyo mkuu kuna wanayosema umenichezea sasa umenichoka ndo najiuliza kama mimi nimekuchezea wewe hujanichezea.Hii jinsia kukaa nayo unahitaji uvumilivu sana
Mwingine utakuta anakwambiabaada ya kunichakaza ndo unaniacha! hapo mtu unajiuliza hivi ni kiungo gani chake nilichokichakaza, maana ukimuangalia bado anaonekana ni wa kawaida tu