Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,155
- 445
Binafsi navutiwa sana na huyu mtangazaji wa Star TV.
Baadhi ya vitu vinavyonisukuma niseme haya ni sauti hasa flow yake pia kuwa mkweli...... macho yake.
Kama atasoma uzi huu, tafadhali nijulishe siku ambazo unakuwa hewani kwenye
kipindi cha Tuongee asubuhi! Huwa naburudika sana unapokuwa ukiendesha kipindi.
This is a wastage of time and space. We should not abuse JF. Hili jukwaa lina heshima yake. Habari nyingi kabla ya kutoka magazetini huanzia hapa. Ni vyema tukaheshimu hili jukwaa. Huu ni ushauri wangu. Hutaki, unaacha.