Unanipa siri zako halafu unaniambia nisimwambie mtu..

Unanipa siri zako halafu unaniambia nisimwambie mtu..

Unanipa siri zako halafu unaniambia nisimwambie mtu,kama kutunza siri rahisi kwanini usikae nazo mwenyewe?
hizo ni lawama za bure kabisa!
Kweli kabisa mkuu yeye mwenyewe kashindwa kuzihifadhi kakuelezea wewe na wewe kwa nini uzifiche ?
 
Ukishaambiwa hiyo siyo siri tena bali umbea.
 
Unanipa siri zako halafu unaniambia nisimwambie mtu,kama kutunza siri rahisi kwanini usikae nazo mwenyewe?
hizo ni lawama za bure kabisa!
hahaa ", yeye mwenyewe kutunza siri ameshindwa", halafu anakusisitizia wewe umtunzie''!!!! ubinaadamu kweli shida
 
Hapana,yule ambae amekuona wakati unapofanya jambo lako ambalo ulikuwa unafanya siri,kila kwa bahati mbaya akakuona ndiyo wakumuomba akufichie siri.ila siyo yule ambae unamsimulia mwenyewe
 
Kuna msela wangu mmoja huyo yeye ukimhadisia lolote haifiki saa limoja kishamwambia kila mtu. Hivi sasa nikikaa nae simhadisii kitu


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kuna msela wangu mmoja huyo yeye ukimhadisia lolote haifiki saa limoja kishamwambia kila mtu. Hivi sasa nikikaa nae simhadisii kitu


Ndukiiiii [emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina siri mingi mingi, yani kila naejishughulisha nae lazima nipate siri zake!. Ipo siku zitanisaidia!.
 
Unanipa siri zako halafu unaniambia nisimwambie mtu,kama kutunza siri rahisi kwanini usikae nazo mwenyewe?
hizo ni lawama za bure kabisa!
Asikusumbue mkuu wewe toa tu hapa hamna shida
 
Kwa kweli mimi huwa natunza siri za watu hadi zingine nyepesi nazisahau.. huwa naheshimu pale mtu anapoamua kunisimulia maswahibu yake na hata kama nikiongea, ntaongea pale mtu mwenye matatizo kama yake atakaponiomba ushauri. Ni kama reference tu na tena naitwist kiasi ambacho si rahisi kumsoma mtu mwenye story OG
 
Kuna msela wangu mmoja huyo yeye ukimhadisia lolote haifiki saa limoja kishamwambia kila mtu. Hivi sasa nikikaa nae simhadisii kitu


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji23][emoji23]huyo kiboko
 
siri ni pale inapokuwa ya mtu mmoja..

ikishajulikana kwa watu wawili hakuna tena siri hapo
 
Kuna msela wangu mmoja huyo yeye ukimhadisia lolote haifiki saa limoja kishamwambia kila mtu. Hivi sasa nikikaa nae simhadisii kitu


Ndukiiiii [emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
Blood sister wng nae yupo hivo!
Cha ajabu anawasema wenzie "wambea" kwamba hawatunzi SIRI!
 
Blood sister wng nae yupo hivo!
Cha ajabu anawasema wenzie "wambea" kwamba hawatunzi SIRI!
Duh sawa na huyu kilaza anasema hivyo hivyo nimemtenga siku hizi kwa kuogea sana.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom