UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Umetafuta vipesa vyako kwa kudunduliza hatimaye ukanunua ki Spacio chako au Ki - Ist halafu mwisho wa siku unaamua kwenda kukilaza Sheli!.
Hakuna mtu mwenye wivu na kagari kako lakini nakutahadharisha ya kwamba Sheli si sehemu salama!.
Ni vema ukatafuta Maegesho mahali pengine ambapo ni salama lakini si Sheli kwasababu tunafahamu wote lile ni eneo maalumu kwa ajili ya vimiminika vinavyolipuka.
Kama wewe ni mwenzangu na mie ambaye hako ka gari kako kakiungua unabaki kubung'aa bung'aa tena ni vema ukajihadhari mapema;
Lakini kama wewe ni sawa na kina Bakhresa sina ushauri na wewe kwasababu hata ka-gari kako kakiungua utanunua kengine.
Ni hayo tu.
Umetafuta vipesa vyako kwa kudunduliza hatimaye ukanunua ki Spacio chako au Ki - Ist halafu mwisho wa siku unaamua kwenda kukilaza Sheli!.
Hakuna mtu mwenye wivu na kagari kako lakini nakutahadharisha ya kwamba Sheli si sehemu salama!.
Ni vema ukatafuta Maegesho mahali pengine ambapo ni salama lakini si Sheli kwasababu tunafahamu wote lile ni eneo maalumu kwa ajili ya vimiminika vinavyolipuka.
Kama wewe ni mwenzangu na mie ambaye hako ka gari kako kakiungua unabaki kubung'aa bung'aa tena ni vema ukajihadhari mapema;
Lakini kama wewe ni sawa na kina Bakhresa sina ushauri na wewe kwasababu hata ka-gari kako kakiungua utanunua kengine.
Ni hayo tu.