[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mke wangu huniambia "ndiyo nalala hivyo. nikilala simtaki usumbuvu" najua hapa anataka KAZI
Ndio inavyotakiwaPenzi siyo Ombi kwa wanandoa. Tuache uzungu na uhindi. Ni wajibu.
Mimi nikitaka, mkono kiunoni. Anajua mzee hapa anataka huduma.
Nikiwa nimelala, akinishika tu sikio na kunifinya mashavu najua huko kumewaka. Hana haja ya kusema naomba.
Natimiza wajibu. Ni majukumu kama majukumu mengine.
witnessj hebu ona hili balaa huku π π πMshukulu sana huyo wako
Wenzako wakifanya hivyo wanapata msonyo wa maaana
Like msyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnunulie shemeji Pepsi Big kwa heshima yangu π π πMke wangu huniambia "ndiyo nalala hivyo. nikilala sitaki usumbufu" najua hapa anataka KAZI