Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Kutokana na kuwa na wafuasi wengi sana duniani na kwa uelewa tu mdogo yakwamba ufanisi unaanzia kwenye upendo sasa mnaonaje kama serikali zetu zitairasimisha siku ya wapendanao kuwa siku ya mapumziko ili kuwapa fursa wapendanao kuwa pamoja na kusherehekea pamoja?
Ni mawazo yangu tu na wewe waweza toa ya kwako.
Karibu.
Ni mawazo yangu tu na wewe waweza toa ya kwako.
Karibu.