Unaongea lugha ngapi? (Binafsi Ninaongea Lugha saba(7)

Naweza kusalimia na kupiga porojo kwa lugha za makabila yote ya tz isipokuwa kisukuma tu
Ukienda huko mwanza ndani ndani ukasema hujui kisukuma wanashangaa sana, maana wanaamini kisukuma ndio lugha kuu ya watanzania. Unajuwa hawakuelewi!!
 
Kwa kifupi pia. Ninaongea lugha zote saba ila kimchanganuo mzuri ni nne za kimataifa (kireno,kispania,kingereza, na kiswahili) hizi nyingine tatu naweza ziita national dialects sababu hazijavuka sana mipaka. Asante.
Mkuu kimakua kimevuka mipaka japokuwa baadhi ya matamshi yanatofautiana kidogo saba lakini haina madhara...nnonkwelelha!?
 
Naongea kiswahili, kisomali,kizigua,Arabic.
 
Nahtaji kufhamu kireno nitakupatje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…