Unapangaje maandamano alafu unalala nyumbani kwako? Au ni uoga?

Unapangaje maandamano alafu unalala nyumbani kwako? Au ni uoga?

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Viongozi wa CHADEMA waliitisha maandamano wakati walijua hawana uwezo wa kufanya maandamano siku zote kuongea ni rahisi sana kuliko kutekeleza.

Moja ya mbinu ya maandamano ni kuwa mafichoni ,huwezi kutangaza kuandamana alafu ukalala kwako.
Hivyo basi Lissu alijua hawezi kuandamana na alitengeneza mazingira asubuh akamatwe na polisi ili badae waseme polisi waliwakamata.

Kwa Dkt Slaa jana kajifanya anaumwa eti anaupasuaji kito ambacho ni mbinu ya kukimbia maandamano.

Hivyo basi CHADEMA hawezi kuandamana tena na hawana uwezo wa kuandamana.
 
Viongozi wa CHADEMA waliitisha maandamano wakati walijua hawana uwezo wa kufanya maandamano siku zote kuongea ni rahisi sana kuliko kutekeleza.

Moja ya mbinu ya maandamano ni kuwa mafichoni ,huwezi kutangaza kuandamana alafu ukalala kwako.
Hivyo basi Lissu alijua hawezi kuandamana na alitengeneza mazingira asubuh akamatwe na polisi ili badae waseme polisi waliwakamata.

Kwa Dkt Slaa jana kajifanya anaumwa eti anaupasuaji kito ambacho ni mbinu ya kukimbia maandamano.

Hivyo basi CHADEMA hawezi kuandamana tena na hawana uwezo wa kuandamana.
Shemeji yenu kaniambia anapenda na familia inantegemea kwaiyo nmewatuma makamanda kwanza wawe mstar wambele mm ntakuja mambo ya kiwa mazur
 
Viongozi wa CHADEMA waliitisha maandamano wakati walijua hawana uwezo wa kufanya maandamano siku zote kuongea ni rahisi sana kuliko kutekeleza.

Moja ya mbinu ya maandamano ni kuwa mafichoni ,huwezi kutangaza kuandamana alafu ukalala kwako.
Hivyo basi Lissu alijua hawezi kuandamana na alitengeneza mazingira asubuh akamatwe na polisi ili badae waseme polisi waliwakamata.

Kwa Dkt Slaa jana kajifanya anaumwa eti anaupasuaji kito ambacho ni mbinu ya kukimbia maandamano.

Hivyo basi CHADEMA hawezi kuandamana tena na hawana uwezo wa kuandamana.
Maandamano yalikuwa enzi za CUF tu
 
Viongozi wa CHADEMA waliitisha maandamano wakati walijua hawana uwezo wa kufanya maandamano siku zote kuongea ni rahisi sana kuliko kutekeleza.

Moja ya mbinu ya maandamano ni kuwa mafichoni ,huwezi kutangaza kuandamana alafu ukalala kwako.
Hivyo basi Lissu alijua hawezi kuandamana na alitengeneza mazingira asubuh akamatwe na polisi ili badae waseme polisi waliwakamata.

Kwa Dkt Slaa jana kajifanya anaumwa eti anaupasuaji kito ambacho ni mbinu ya kukimbia maandamano.

Hivyo basi CHADEMA hawezi kuandamana tena na hawana uwezo wa kuandamana.
Unataka akalele kwa Mama yako?
 
Viongozi wa CHADEMA waliitisha maandamano wakati walijua hawana uwezo wa kufanya maandamano siku zote kuongea ni rahisi sana kuliko kutekeleza.

Moja ya mbinu ya maandamano ni kuwa mafichoni ,huwezi kutangaza kuandamana alafu ukalala kwako.
Hivyo basi Lissu alijua hawezi kuandamana na alitengeneza mazingira asubuh akamatwe na polisi ili badae waseme polisi waliwakamata.

Kwa Dkt Slaa jana kajifanya anaumwa eti anaupasuaji kito ambacho ni mbinu ya kukimbia maandamano.

Hivyo basi CHADEMA hawezi kuandamana tena na hawana uwezo wa kuandamana.
Hata kama angejificha angetumiwa wito wa kwenda polisi kwa njia za ki mtandao.

Na kama angegoma basi wangesubiri wakati wa maandamano wangemchomoa yeye tu na kuondoka nae wengine wakiachwa waandamane kwa amani.
 
Back
Top Bottom