Unapaswa kupimwa akili

Unapaswa kupimwa akili

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2012
Posts
602
Reaction score
2,506
.., nyumbani kwako unatumia kibatari, unatumia taa ya kandili (chemli), hauna gari na hata pikipiki..., bado unasherekea 'annual Motor vehicle Licence fee' kuhamishwa kama tozo kwenye bidhaa za mafuta ya diesel, petrol na mafuta ya taa..., ndugu yangu akili yako inahitaji kugongwa na nyundo ya mawe..., hauko timamu, jitafakari !
 
Kuna mkono wa mtu sio bure haiwezekan tukawa hivi
 
Back
Top Bottom