Unapata faida gani kuanika mambo yako ya msingi mbele za watu

Unapata faida gani kuanika mambo yako ya msingi mbele za watu

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Siriiiiii, kuna kundi kubwa sana la watu hawajui madhara ya kuanika mambo yao ya msingi mbele za watu.

Yaani yeye akipata dili lolote hata kabla halijatiki tayari kashawatangazia watu zaidi ya kumi, ndugu zangu hivi mnajua kuwa kwenye hii dunia tuaishi kwa kuviziana sana?

Utasikia ooooh, mwenzako nimepata kazi nje ya nchi, mwezi ujao naanza kujenga nyumba yangu, mtoto wangu amepata scholarship ya kwenda kusoma ulaya mwaka ujao na mengineyo mengi.

Ndugu zangu kwenye hii dunia usije ukamwamini mtu yeyote abadani binadamu ni wabaya sana, fanya mambo yako kisirisiri washitukie tu jambo lako limeshawanikiwa.

Acha kabisa kutangaza mambo yako msingi mbele za watu ni hatari sana.
 
Siriiiiii, kuna kundi kubwa sana la watu hawajui madhara ya kuanika mambo yao ya msingi mbele za watu.

Yaani yeye akipata dili lolote hata kabla halijatiki tayari kashawatangazia watu zaidi ya kumi, ndugu zangu hivi mnajua kuwa kwenye hii dunia tuaishi kwa kuviziana sana?

Utasikia ooooh, mwenzako nimepata kazi nje ya nchi, mwezi ujao naanza kujenga nyumba yangu, mtoto wangu amepata scholarship ya kwenda kusoma ulaya mwaka ujao na mengineyo mengi.

Ndugu zangu kwenye hii dunia usije ukamwamini mtu yeyote abadani binadamu ni wabaya sana, fanya mambo yako kisirisiri washitukie tu jambo lako limeshawanikiwa.

Acha kabisa kutangaza mambo yako msingi mbele za watu ni hatari sana.
Kweli mdogo uliponza kichwa
 
Siku hizi maadili yameporomoka sana, chupi zinaanikwa hadharani bila aibu. Unakuta mabinti wakubwa wanaanika chupi zao hadharani bila kujali baba yao na kaka zao wataziona. Kuna pia wapita njia wengine wakiziona hupata mfadhaiko wa kihisia kana kwamba wameona uchi wenyewe. Kuna wakati unashindwa kuelewa ipi ni chupi ya mama yao kati ya chupi za mabinti hao zilizoanikwa. Chupi zinapoanikwa hufunikwa kwa kanga zikauke huku zikiwa hazionekani hadharani. Kuna watetezi wanasema chupi zinatakiwa zikauke kisawasa ili kuua vimelea vya bakteria wa maradhi. Tufiche aibu za faragha zetu
 
Tujifunze kukaa limya kwenye michakato yetu, hata dini inatuambia.

Husda ni kitu kibaya mnooo
 
Siriiiiii, kuna kundi kubwa sana la watu hawajui madhara ya kuanika mambo yao ya msingi mbele za watu.

Yaani yeye akipata dili lolote hata kabla halijatiki tayari kashawatangazia watu zaidi ya kumi, ndugu zangu hivi mnajua kuwa kwenye hii dunia tuaishi kwa kuviziana sana?

Utasikia ooooh, mwenzako nimepata kazi nje ya nchi, mwezi ujao naanza kujenga nyumba yangu, mtoto wangu amepata scholarship ya kwenda kusoma ulaya mwaka ujao na mengineyo mengi.

Ndugu zangu kwenye hii dunia usije ukamwamini mtu yeyote abadani binadamu ni wabaya sana, fanya mambo yako kisirisiri washitukie tu jambo lako limeshawanikiwa.

Acha kabisa kutangaza mambo yako msingi mbele za watu ni hatari sana.
Tusifundishane maisha, ishi kivyako utoboe tu
 
Siku hizi maadili yameporomoka sana, chupi zinaanikwa hadharani bila aibu. Unakuta mabinti wakubwa wanaanika chupi zao hadharani bila kujali baba yao na kaka zao wataziona. Kuna pia wapita njia wengine wakiziona hupata mfadhaiko wa kihisia kana kwamba wameona uchi wenyewe. Kuna wakati unashindwa kuelewa ipi ni chupi ya mama yao kati ya chupi za mabinti hao zilizoanikwa. Chupi zinapoanikwa hufunikwa kwa kanga zikauke huku zikiwa hazionekani hadharani. Kuna watetezi wanasema chupi zinatakiwa zikauke kisawasa ili kuua vimelea vya bakteria wa maradhi. Tufiche aibu za faragha zetu
Haya maswala ya pichuu yametokea wapi tena 🤣
 
Siriiiiii, kuna kundi kubwa sana la watu hawajui madhara ya kuanika mambo yao ya msingi mbele za watu.

Yaani yeye akipata dili lolote hata kabla halijatiki tayari kashawatangazia watu zaidi ya kumi, ndugu zangu hivi mnajua kuwa kwenye hii dunia tuaishi kwa kuviziana sana?

Utasikia ooooh, mwenzako nimepata kazi nje ya nchi, mwezi ujao naanza kujenga nyumba yangu, mtoto wangu amepata scholarship ya kwenda kusoma ulaya mwaka ujao na mengineyo mengi.

Ndugu zangu kwenye hii dunia usije ukamwamini mtu yeyote abadani binadamu ni wabaya sana, fanya mambo yako kisirisiri washitukie tu jambo lako limeshawanikiwa.

Acha kabisa kutangaza mambo yako msingi mbele za watu ni hatari sana.
wakati mwingine huwa ni mbinu ya medali, ili uwin kitu fulani, tusikariri siku zote kwamba kujianika ni kubaya. kuna pande zote mbili. na wakati mwingine huwa ni swaga za uongo tu ili kukuchota kwenye kitu fulani.
 
Siku hizi maadili yameporomoka sana, chupi zinaanikwa hadharani bila aibu. Unakuta mabinti wakubwa wanaanika chupi zao hadharani bila kujali baba yao na kaka zao wataziona. Kuna pia wapita njia wengine wakiziona hupata mfadhaiko wa kihisia kana kwamba wameona uchi wenyewe. Kuna wakati unashindwa kuelewa ipi ni chupi ya mama yao kati ya chupi za mabinti hao zilizoanikwa. Chupi zinapoanikwa hufunikwa kwa kanga zikauke huku zikiwa hazionekani hadharani. Kuna watetezi wanasema chupi zinatakiwa zikauke kisawasa ili kuua vimelea vya bakteria wa maradhi. Tufiche aibu za faragha zetu

Uko sawa bro? Mbona uzi haujaongelea pichu lakini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom