Unapata somo gani la maisha hapa?

Unapata somo gani la maisha hapa?

Desire Dizaya

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2015
Posts
6,476
Reaction score
11,659
Kupitia hizi picha,kupitia huyo alieko kwenye picha..?
Usimdharau mtu kwa hali anayopitia.huijui kesho yake atakuwa nani(picha ya kwanza)
Nawe unaetafuta usikate tamaa,kesho yako inakusubiri.juhudi zako za Leo ndo mafanikio yako ya kesho.
Usikate tamaa

IMG_20190329_114238_859.JPG
IMG_20190329_114151_739.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe.

Mfano kuna dem mmoja hivii nilkua nampenda saaaaaaaana kuliko kawaida ila kimsingi nilipokuja kumueleza hili swala kaniona mi mjinga sana kumueleza mambo ya hivyo kisatu ni kwakua mi mkata nyasi, hali ngumu mfukoni sina hata dollar.

Daah! Nilijihisi maskini labda hatuna haki ya kupenda, ila bado naamini iposikutu/kesho yangu itakua njema kuliko alivyo nishushua nikajiona mjinga mbeleyake.

No common formula in life, everybody will be successful through different ways un- common in different times.

Long story [emoji19]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe.

Mfano kuna dem mmoja hivii nilkua nampenda saaaaaaaana kuliko kawaida ila kimsingi nilipokuja kumueleza hili swala kaniona mi mjinga sana kumueleza mambo ya hivyo kisatu ni kwakua mi mkata nyasi, hali ngumu mfukoni sina hata dollar.

Daah! Nilijihisi maskini labda hatuna haki ya kupenda, ila bado naamini iposikutu/kesho yangu itakua njema kuliko alivyo nishushua nikajiona mjinga mbeleyake.

No common formula in life, everybody will be successful through different ways un- common in different times.

Long story [emoji19]

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu..bila wao kukukataa usingekua na ari ya kufika mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu..bila wao kukukataa usingekua na ari ya kufika mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli, ila wakati mwingine yatupasa kukubaliana na hali katika swala la mahusiano tunapo kataliwa kisa mfukoni pakavu maana asiye kubari kushindwa sio mshindani,, ila kimsingi jitihada nazidi kuzitia ili nipate vitu viwili,
No1 nipate kumjua mungu
No2 nipate raslimali ikiwemo rasilimali watu na rasilimali mali.

"Wema hawajazaliwa, ila wazuri wamesha zaliwa, na nitawaoa iwapo nikipenda"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli, ila wakati mwingine yatupasa kukubaliana na hali katika swala la mahusiano tunapo kataliwa kisa mfukoni pakavu maana asiye kubari kushindwa sio mshindani,, ila kimsingi jitihada nazidi kuzitia ili nipate vitu viwili,
No1 nipate kumjua mungu
No2 nipate raslimali ikiwemo rasilimali watu na rasilimali mali.

"Wema hawajazaliwa, ila wazuri wamesha zaliwa, na nitawaoa iwapo nikipenda"

Sent using Jamii Forums mobile app
Amina.Mungu akusaidie kufikisha ndoto zako
Kikubwa uzima tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No pain no gain,ila hiyo picha ya juu inaonekana kama vile Diamond alikua anaigiza tu,labda kwenye wimbo fulani coz ukiangalia hiyo picha ya juu,afya ya Diamond haina tofauti na afya aliyonayo kwenye picha ya chini.
 
Ndo hivo ..ukiwa na shida yatumie Yale maneno machungu ya watu mixer masimango kujenga future yako..lazima ufanikiwe.
Zifanye shida kama challenge ya kukupeleka kwenye mafanikio ...usizione kikwazo..zione fursa
Hapo kwenye red pananifanya niamini kua,hata Baba yake Diamond ana mchango mkubwa sana kwenye maendeleo ya Diamond,kama ni kweli Baba Diamond alimkataa Diamond.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo alikua ananza anza...kuna tukio lilimpata akarudi huko backstage..unaona kuna mdada pembeni nadhani alikua anamfariji..na hiyo picha alipigwa na mapapatazi wa shigongo
No pain no gain,ila hiyo picha ya juu inaonekana kama vile Diamond alikua anaigiza tu,labda kwenye wimbo fulani coz ukiangalia hiyo picha ya juu,afya ya Diamond haina tofauti na afya aliyonayo kwenye picha ya chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo hivo ..ukiwa na shida yatumie Yale maneno machungu ya watu mixer masimango kujenga future yako..lazima ufanikiwe.
Zifanye shida kama challenge ya kukupeleka kwenye mafanikio ...usizione kikwazo..zione fursa

Sent using Jamii Forums mobile app
The best revenge for ur haters is ur success,
Success is the only form of revenge that actually benefits you.
 
Nakubaliana na wewe.

Mfano kuna dem mmoja hivii nilkua nampenda saaaaaaaana kuliko kawaida ila kimsingi nilipokuja kumueleza hili swala kaniona mi mjinga sana kumueleza mambo ya hivyo kisatu ni kwakua mi mkata nyasi, hali ngumu mfukoni sina hata dollar.

Daah! Nilijihisi maskini labda hatuna haki ya kupenda, ila bado naamini iposikutu/kesho yangu itakua njema kuliko alivyo nishushua nikajiona mjinga mbeleyake.

No common formula in life, everybody will be successful through different ways un- common in different times.

Long story [emoji19]

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakuunga mkono mkuu; Mimi nilikuwa na-kademu nilika-mind mno, since tukiwa primary. Kalivyofika Secondary (nadhani baada yakuonjeshwa dudu), kalini-dump kakanipotezea, nilumia SANA. Kalikuja kupata kazi bank (mpaka leo hii ninapoandika hapa bado yupo hapo bank), akaolewa, kazalishwa na sasa hivi kaachana na mmewe (for some moths now), sijui reason. Namshukuru mungu nilikomaa na life kibabe, nimejenga (nyumba Zaidi ya moja), nina-viusafiri vyangu, biashara zangu & ajira yakuaminika (Int’l Org). Ananipigia simu daily akinikumbushia ya zamani, huwa namblock, anatafuta laini nyingine anatuma sms anaomba appointment kuonana nami, simjibu, ananipigia, namblock, imekuwa kero kwangu ukizingatia nina-mke na watoto.

FUNZO: Enyi dada zangu, mtu vumilie sisi wapenzi wenu wa awali, msiwakimbilie waliofanikiwa mkataka short kati, mwenzenu naamini moyo wake unamajonzi akiniangalia mambo yangu ninavyoyapeleka na ninavyomfungia vioo….. Na mwenye masikio na asikie. AMEN
 
Nakuunga mkono mkuu; Mimi nilikuwa na-kademu nilika-mind mno, since tukiwa primary. Kalivyofika Secondary (nadhani baada yakuonjeshwa dudu), kalini-dump kakanipotezea, nilumia SANA. Kalikuja kupata kazi bank (mpaka leo hii ninapoandika hapa bado yupo hapo bank), akaolewa, kazalishwa na sasa hivi kaachana na mmewe (for some moths now), sijui reason. Namshukuru mungu nilikomaa na life kibabe, nimejenga (nyumba Zaidi ya moja), nina-viusafiri vyangu, biashara zangu & ajira yakuaminika (Int’l Org). Ananipigia simu daily akinikumbushia ya zamani, huwa namblock, anatafuta laini nyingine anatuma sms anaomba appointment kuonana nami, simjibu, ananipigia, namblock, imekuwa kero kwangu ukizingatia nina-mke na watoto.

FUNZO: Enyi dada zangu, mtu vumilie sisi wapenzi wenu wa awali, msiwakimbilie waliofanikiwa mkataka short kati, mwenzenu naamini moyo wake unamajonzi akiniangalia mambo yangu ninavyoyapeleka na ninavyomfungia vioo….. Na mwenye masikio na asikie. AMEN
Sawa mkuu, yaan endelea kukaza nati haswaaaaaa usimuonee huruma,
kwanza mavi ya dhamani hayanuki, sahibi unapambana ili kuona mkewako na watoto wako wata ishi vipi na katika hali gani, hivyo unayo haki ya kumpuuza, alaf mungu anayake mengi huenda ungelimuoa usingekua na strong economic stand hivyo we usijute, mi sijuti japo inauma sana.

Wadada baadh yao, hawana uvumilivu,

Ila ukumbukwe hata mtoto alianza step ya kwanza kabla ya kukaa mpaka anakua mtu mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom