Unapata wapi ujasiri wa kufanya mapenzi juu ya kaburi?

Duh! Kwa nyege zipi hasa mpaka mtu mwenye akili timamu ufanye hili na marehemu? 😳😳😳😳😳😳 Umeshawahi kufanya na maiti Mkuu? Kwa nyege au kwa mambo ya Kichawi?
Kwa mtu aliyewahi kufanya kazi mochwari mbona kawaida tu kuna jamaa yangu ameokoka mwaka jana anasema kipindi akiwa bado anafanya kazi mochwari amewala sana marehemu hasa mabinti warembo ambao walikuwa wanakufa vifo vya ghafla ambao hawajaugua muda mrefu jamaa alikuwa anasort kabisa maiti zikiletwa anasubiri usiku sana anakuwa peke yake humo anajipigia tu
 


Nimeona jina mara mbilimbili nikajua kumbe si kiumbe binadamu!!!
 
KE atakayetaka kunipeleka makaburini nikamvue picchu huyo nitampiga chini haraka sana maana ana chembe chembe za kichawi.
Hivi mzuka utapandaje nyumbani kwa wafu? Kwanza nikipita eneo lenye makaburi huwa naogopa sana. Sijawahi kuyazoea kabisa. Mimi kwa mfano hospital aliyofia mama yangu Mzazi huwa ninaiogopa mpaka leo na ni miaka mingi. Sembuse kaburi? Watu wana mioyo ya chuma aisee.
 
Kufanya mapenzi juu ya kaburi si ujasiri bali unyama, uhayawani na upumbavu visivyo na mfano. watu wanafanya vitu utadhani hawatakufa.
 
Mimi hata nikienda kusafisha makaburi ya wanaonihusu ambao wametangulia mbele ya haki sipendi kabisa kukaa muda mrefu ni kusafisha kwa speed kubwa sana na kuondoka mara moja, halafu mtu aniambie eti nikamgegede makaburini kwa sababu yeye anapenda kufanyia makaburini!!!
😳😳😳
 
Si ulikuwa unatetea wizi wa Kura sio wewe?
 
Kwahio umemshikisha salaba ukawa unasimika ukuni😂😂😂 hahahah kweli vituko haviishi yani! Ila Makaburini hamna mtu anayeweza hata kupawazia kuwa kuna mtu ana guts za kugongea huko!
 
Zinaa ni zinaa tu, haijalishi zinaa hiyo inafanywa wapi. Iwe inafanyiwa Ikulu, Kanisani, Msikitini, Makaburini, Guest house au popote pale, bado zinaa inabakia kuwa "zinaa" na adhabu yake ni ile ile.
Usifikirie kuwa yeye anayefanya zinaa makaburini ana adhabu kubwa kuliko wewe unayefanya zinaa chumbani kwako. Wote mfanyao zinaa adhabu yenu ni moja = moto usiozimika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…